Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #41
Nimemjibu, nakutag mm mwenyewe.Akikujibu nitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemjibu, nakutag mm mwenyewe.Akikujibu nitag
Nitag kwenye jibu lakoNimemjibu, nakutag mm mwenyewe.
Mkushi w janiUnajua kununua China risk yake. Unailaza hela majini kama miezi mitatu hiv..
Mzee natafuta mtu tuchange hela tuchukue catton kwa shangaziNitalipia English kozi kama una muda ukapige pale british Council, we ndugu yangu siwez kukubali udhalilike
Unataka kuuza pochi za shilingi ngapi mzeeMzee natafuta mtu tuchange hela tuchukue catton kwa shangazi
Kwa shangazi Bando linaanzia shingap na linapochi ngap..mfano hizi pochi tunazouziwa elfu kumi reja reja na machinga congo kwa shangaz shingap. .naje hizi pochi tunazouziwa 25000-28000-30000 kwa shangazi Bando shingap au hazinaga bandoUnataka kuuza pochi za shilingi ngapi mzee
Pisi 12Kwa shangazi Bando linaanzia shingap na linapochi ngap..mfano hizi pochi tunazouziwa elfu kumi reja reja na machinga congo kwa shangaz shingap. .naje hizi pochi tunazouziwa 25000-28000-30000 kwa shangazi Bando shingap au hazinaga bando
Msiende kwa shangazi, na mm nimeleta pochi na begi hiziTutaenda kwa shangazi
Bei ganiMsiende kwa shangazi, na mm nimeleta pochi na begi hiziView attachment 3152793View attachment 3152794View attachment 3152796View attachment 3152797View attachment 3152798View attachment 3152800View attachment 3152801View attachment 3152802View attachment 3152803View attachment 3152804View attachment 3152810View attachment 3152795View attachment 3152795
TwendeniTutaenda kwa shangazi
Elfu 12 na 11 zile nichukue pisi 12Unataka kuuza pochi za shilingi ngapi mzee
Nicheki wasap nikutumie. Namba zangu unazo na nadhani nilikucheki hukoBei gani
Twendeni
Elfu 12 na 11 zile nichukue pisi 12