Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza microsoft lumia 640 dual ni windows 10 napatikana arusha ila mikoani pia natuma
Piga 0628391356
 
Nina Huawei y 550 imetumika miezi 6, inataka 220k mwenye uhitaji aje pm wakuu
 
Unapatikana wap mkuu
1473436027581.jpg
1473436032521.jpg


Zipo za kutosha pesaa
 
Anayetaka iphone 4 ninayo mbili white and black kila moja ni 200,000. Tu namba ya simu 0682872166
 
Nauza samsung galaxy tab 4 haina tatizo lolote bei sh 220000 kwa atakaye hitaji nichek whatsp kwa no 0753606603
 
Nauza Nokia Lumia 620, bei laki moja ina mpasuko kwenye tachi lakini inapiga kazi kama kawaida. 0714884422
 
Samsung galaxy s5. Marshmallow android version, 2gb ram, 16gb rom, 4G network. Inauzwa sh 270,000 za kitanzania
1473615374043.jpg
1473615384333.jpg
1473615389782.jpg
1473615394152.jpg
1473615398652.jpg
 
Samsung galaxy s6 edge, marshmallow android version, 3gb ram, 32gb rom and 4G network. Inauzwa kwa sh 530,000. Tatizo lake ni crack kwenye kioo cha juu
1473615929459.jpg
1473615933082.jpg
1473615948402.jpg
1473615955422.jpg
 

Attachments

  • 1473615942512.jpg
    1473615942512.jpg
    61 KB · Views: 23
Back
Top Bottom