Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Samsung galaxy s 6 edge. Imetumika mwezi mmoja. 3gb ram, 32gb storage, marshmallow android version, 4G network kwa sh 750,000. Bei haipungui
Mawasiliano 0719094595
Location dar
1474166981144.jpg
1474166984268.jpg
1474166986718.jpg
1474166989318.jpg
1474166992228.jpg
1474166995108.jpg
 
Smart world,tuna deal na matenegenezo bora ya smartphone kama kuflash simu aina zote, ku unlock simcard kwa simu za nje ya nchi, kubadili damaged dispaly,kuondoa virus,kufix bugs zisizo za lazima katika smart phone na matengenezo mbalimbali ya simu,kwa ubora na uhakika wa smartphone yako wasiliana nasi:-0714648822 na 0768393948.
 
Smart world,tuna deal na matenegenezo bora ya smartphone kama kuflash simu aina zote, ku unlock simcard kwa simu za nje ya nchi, kubadili damaged dispaly,kuondoa virus,kufix bugs zisizo za lazima katika smart phone na matengenezo mbalimbali ya simu,kwa ubora na uhakika wa smartphone yako wasiliana nasi:-0714648822 na 0768393948.
Mkuu sonny experia z1 imepasuka kioo cha mbele na mfuniko wa nyuma na camera yake imeharibika matengenezo yatakuwa bei gani???
 
Nahitaji kununua tablet yenye sifa hizi nicheck kama unayo
Brands ni Samsung/LG/Lenovo/HTC
Android version ni kuanzia 4.4.4
(Kitkat)
RAM at least 1. 5GB
Internal at least 16 GB
Size at least 8inches but 10 inches is the target.
Battery life at least 8hrs(Muhimu sana)
Offer yangu maximum ni 400k
Tuchekiane pm.
 
Nahitaji kununua tablet yenye sifa hizi nicheck kama unayo
Brands ni Samsung/LG/Lenovo/HTC
Android version ni kuanzia 4.4.4
(Kitkat)
RAM at least 1. 5GB
Internal at least 16 GB
Size at least 8inches but 10 inches is the target.
Battery life at least 8hrs(Muhimu sana)
Offer yangu maximum ni 400k
Tuchekiane pm.
Mkuu vipi umepata?
 
Ipo s4 original...SM 19505 hii model inasupport 4G, ni Lte ....nichek Vunja bei: 0654776976
S4 original model hiyo ninayo kioo cha juu kimecleck,ila inapiga mzigo kama kawa, kinapatkana kariakoo kwa 25ooo tu nicheck whatsapp 0765325644
 
Wakuu hivi hizi series za samsung zimekaa vipi....

Ipi ni superior kati ya hizi....na utofauti ni nini,?

A -series....mfano A7
J-series......mfano J7
S-series....mfano S6
Note-series....mfano Note 3

Naombeni ufafanuzi....manake baadaye nataka niende mobile plaza nikavute samsung moja chap
 
Anaehitaji Ipad 2 16gb kwa 270k inapiga kazi Ila display imecrack kidogo pembeni.0787841556. wifi + Simcard
e9c758c62d7d6644c643a208ce5f8033.jpg
y
b6adf65705c70236d2dffcc1ba82a9f9.jpg
b4355043d646a32e2f318ae2f48d3860.jpg
.
 
Natafuta simu yenye nchi 4 iwe laini 1 isiwe na shida hata moja
 
Wakuu nashida Na laptop nzuri iliyo kwenye Hali nzuri napatikana Zanzibar town. Mawasiliano 0716403314.
Asanteni
 
Habari zenu
Niko iringa
natafta smartphonenna bajeti ya 150k
Naombeni ofa zenu
kwa alieko iringa
 
Samsung note tab 10.1
Size Inch 10
2gb ram
16gb internal storage
Bei ni 420k. Pungufu unaongea
Location dar
Contact 0719094595
1474391221250.jpg
1474391234357.jpg
1474391240801.jpg
1474391245430.jpg
1474391251510.jpg
 
Back
Top Bottom