Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza iPhone 4S kwa Tshs
450,000/=. Au kwa mwenye iPhone 5 au 5S tubadilishane nimpe na cash juu. Anaehitaji anicheck 0767554234
https://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/87d479756625eeb67c23a
Ntafutie laki 6 nikupe six
 
N
Nafikiri ili neno icloud lilikua Giza kwangu asante kwa ufafanuzi yani ckua naelewa chochote apo
 
Lenovo k5 plus 3gb ram for sale,

CONDITION - NEW
PRICE 400000/TSH

Amazon product ASIN B01DGVXIMG
  • Dual Sim, 4G, 3G, Wi-Fi
  • Octa Core, 1.5 GHz Processor
  • 3 GB RAM, 16 GB inbuilt
  • 2750 mAH Battery
  • 5 inches, 1080 x 1920 px display
  • 13 MP Camera with flash
  • Memory Card Supported, upto 128 GB
 
big gift said:
Sasa huoni nakua katika hatari ya kukosa mwenzangu akiniwahi

Hahaha sasa huo uchoyo mkuu, huwezi jua waweza shindwana nae bei alafu ikiwekwa hapa pia unaweza faidika hadi wewe kama kitu si kizuri watu watakupa ushauri pia.
 
ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP ni sabuni kutoka kampun kabambe iliyothibitishwa kimataifa je una matatizo ya ngozi,mba kwenye nywele,fangasi,ukinyoa unatoka vipele sabuni hii ni kiboko kabisa.
Imetengenezwa kwa kutumia Honey, green tea, Grapefrute, olive oil na palm oil ni nzuri kwa watoto wadogo pia
Kama unaijali na kuipenda ngozi yako tumia anatic soap ni shilingi 10,000 tu.
Text/piga 0715 476787
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…