Wauza smartphone tukutane hapa

Kuna hitaji kubwa sana la simu janja haswa maeneo ya mikoani..watu wanahitaji kuifungua dunia.kama unasimu yako unaiuza weka detail hapa na contact tufanye biashara..
 
nadhani wanachelewa kuja wako kwenye ule uzi mwingine wenye maudhui kama huu wako.
 
Mpya kabisa dukan ni 295-300k hata ukizunguka sana unaweza pata kwa 290k. Ila mi kwangu nauza 295k. Kuna used ina siku kumi inatakiwa 250k

Sawasawa kabisa kiongozi.

Nadhani ingekuwa vyema ukaniachia namba yako kiongozi ili owe rahisi kuwasiliana mkuu.

Thank You.
 
iPhone 5 ilikanyangwa na gari screen imepasuka ila kila kitu cha ndani kizima...naiuza kama spare
Bei maelewano
 
Wakuu naomba msaada kwa anaefahamu duka linalouza betri za Iphone 5 kwa sh 10000 hapo Kariakoo anielekeze tafadhali maana nalisikia tu
 
Nauza sim aina ya tecno w4,check me pm for details

Sent from my Apple iPhone 7 plus using Jamiiforums mobile app.
 

Jipatie vioo/display complete original kwaajili ya Iphone 6 na iphone 6plus.

Bei: Iphone 6 lcd 150,000, 6plus 200,000.
Contact: 0738 29 87 78.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…