Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza iphone 6 plus
16gb storage
Silver color
Clean condition
Call 0687418838,0653316087,0753063142
 
Wapi ntapata mtaalamu wa kubadilisha kioo cha mbele cha iphone 7 plus, nahitaji rangi nyeusi na siyo hii nyeupe iliyopo
 
htc one m8 haina tatizo zaidi ya mikwaruzo kidogo kwa nyuma

ram 2gb
32 phone storage

bei:200000

maelezo zaidi njo pm
 
Kweli kabisa mkuu mi mwenyewe nilitaka kula mkenge maeneo ya mabibo chuo(NIT)
 
Nina bajeti ya 300-350
Nahitaji simu isipokua tekno.

Iwe na battery angalau 3000mAh
Storage 16 GB
Camera kuanzia 8MP
Screen size kuanzia 4.5 inches
Ram kuanzia 1GB>>

Niko Korogwe Tanga
Njoo pm kama unayo simu hiyo iwe mpya au used but hali nzuri

Tekno msanii mkuu ni zinaitwa Tecno boss wang samahani
 
Offer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!

Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs

[HASHTAG]#specifications[/HASHTAG]
.HDMI SUPPORT
.Built decoder
.wifi support
.usb ports etc

Tunapatikana Malindi mjini Zanzibar

[HASHTAG]#Wakazi[/HASHTAG] wa Zanzibar unaletewa popote ulipo bure/Tanzania bars tunatuma baada ya malipo kwa usalama na uaminifu mkubwa.

#NB one year warranty
[HASHTAG]#cont[/HASHTAG] 0712986773
 
Nahitaji display ya note 4 sm-n910 budget yangu ni 200k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…