mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 614
ongeza elfu 10 ukanunue alcatel mpyaa kwenye vodashopsJamani nina elf 60 hapa ninataka smartphone.
Nauza techno C8 ongeza 10,000 nikuachie mzigo.nipo tanga natafta simu ya 140000
440000 prime 2017Samsung J5 imefika sh ngapi sahivi dukani??
upo wapiJamani nina elf 60 hapa ninataka smartphone.
Kweli kabisa mkuu mi mwenyewe nilitaka kula mkenge maeneo ya mabibo chuo(NIT)Jamani tuwe makini na simu za kununua mikononi mwa watu.
Kuna mchezo unaendelea ambao kiukweli sio mzuri.
Mtu anakuuzia simu leo. Unakaa nayo hata miezi minne. Baadae unafuatwa na polisi kuwa simu ni ya wizi.
Tuwe makini. Mimi yamenitokea. Nilinunua samsung s6 edge yenye crack kwa sh 370000. Baada ya kukaa miezi 4, nikafuatwa na polisi
Nipo Dar.upo wapi
Nina bajeti ya 300-350
Nahitaji simu isipokua tekno.
Iwe na battery angalau 3000mAh
Storage 16 GB
Camera kuanzia 8MP
Screen size kuanzia 4.5 inches
Ram kuanzia 1GB>>
Niko Korogwe Tanga
Njoo pm kama unayo simu hiyo iwe mpya au used but hali nzuri
htc one m8 haina tatizo zaidi ya mikwaruzo kidogo kwa nyuma
ram 2gb
32 phone storage
bei:200000
maelezo zaidi njo pm