Wauza smartphone tukutane hapa

Note 1..bei 150000/=....second hand UK hapa aijatumika kabisa zaid ya kuitest tu...good condtion ni km mpya..0629565168
Kama uko tayari 100,000/= tunaweza kufanya biashara hata leo kiongozi. Mie nipo Dar maeneo ya Kigamboni
 
NAUZA TECKO W3 KWA 100,000/= TU IPO KATIKA HALI NZURI IMETUMIKA MWEZI MMOJA NA NUSU TU.. NIPO DAR LAKINI JUMAAPILI KITAKUA MBEYA
Ebu nichek nahitaji Tecno w3 iwe fullbox Hata used
Njoo inbox na Bei kabsa 0743586474 me Niko dar
 
Upo dar?
Ungependa kupata simu au laptop kutoka Zanzibar?
Kama jibu ni ndio wasiliana nami au ingia hapa Smile with Zanzibar. uniagize nikununulie kisha nikutumie , ukipata mzigo ndipo unalipia bidhaa Asante
0726403314
mkuu ungweka bei kwa baadhi ya bidhaa zinazopatikana zanzibar ili wateja waone kama kuna unafuu
 
mkuu ungweka bei kwa baadhi ya bidhaa zinazopatikana zanzibar ili wateja waone kama kuna unafuu
Unafuu upo,
Lkn kumbuka ukitaka bidhaa ndio naifuatilia nakupa bei ukipendezwa nayo tunafanya biashara ambapo malipo Ni baada ya kupata mzigo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…