Wauza smartphone tukutane hapa

Nipeni simu ya 80 elfu wakushi iwe imenyooka
Chukua tecno Y3+ ipo katika hali nzuri, bei 80,000/=
Kila kitu kipo charger, earphones na box lake.
Karibu pm kwa mazungumzo
 
ni copy au original picha yake ni faints sana huna ambayo iko clear, ina tatizo gani
 


S4 Mini LTE bado ipo
Mint condition
4G supported
internal 8GB na RAM ni 1.5GB
120,000/-
0625 598055
 
Kuna mwenye uelewa wowote na simu za ccit ..maana kunamtu anataka kuniuzia ila sizijui vizur.nisqidien ni ccit p9
 
mwenye i phone 6 tubadilisha na samsung S6 ina miez mitatu SM-G920F
0757147559 nip tayr hain ttz lolote....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…