Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

naitaji hiyo simu ila niko singida naipataje
Nashauri umuagize ndugu ama jamaa yako wa karibu aje akuchukulie then atakutumia yee.
Hatujakaa sawa kufanya delivery nje ya Dar bado mkuu.
Karibu sana
 
tatizo hizi simu kuna clone na OG
Sisi Tuna model za Vietnam, Korea, za mitandao kama T-mobile na AT&T.
Bila kisahau model F global version.
Tena twashauri kama first time twafanya biashara nawee uje na mtaaalaam unaemuamini akukagulie ama akupe keys zakufanya thorough verifications mpaka ujiridhisheeee
 
Mwenye Samsung S5 used akuje inbox

16 GB internal
4G LTE
2GB RAM
FINGERPRINT INAYOFANYA KAZI
KAMERA SAFI

BEI OFFA 200-230K
 
Mara paaap mzigo wa Samsung galaxy s6 in town.
Colour gold, dark blue and white.
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16 mp
Network LTE 4G
Price 440k
Contacts 0652332255 or 0739332255
(grease tunapaka kwa mbaaali[emoji2] )
Kwa wadau mawinga msiogope tutalindanaa almradI hakuna George atakae rudi bush[emoji2] [emoji2] .

3a66c7532ab6501d502dbf220ab81a84.jpg

b6596bf908161f5c2826c958d8c92ca0.jpg

4da7b8bc5f21995bb0d47fe9777a2c20.jpg
Mkuu s6 edge unazo shilling ngapi?
 
Kuna Sumsung S6 inauzwa ipo kwenye hali nzuri inahitaji laki tatu na nusu

Nipo mwanza

0762007038
 
Habari wakuu ninauza

Iphone 6s 16gb laki 6 na 90
Iphone 6s 16gb laki 7 na 90
Samsung galaxy s7 edge laki 7 na 40

Simu ni mpya
Kwa mawasiliano zaidi
Whatsapp : +8615567970407
8abe85a944dedfe1335b56bcf9af5ae4.jpg
758286eaa0e26308107aa8e91105bc06.jpg
b4ea5e0af5d52faad575e1a05f389f6f.jpg
8abe85a944dedfe1335b56bcf9af5ae4.jpg
s
8abe85a944dedfe1335b56bcf9af5ae4.jpg
 
Samsung J5
Inamuonekano mzuri betr lake jiwe sana...... ipo hapa kwa 240 tu
 
Back
Top Bottom