Wauza smartphone tukutane hapa

Kuna 200k hapa inatafuta simu mpya mwenye kuridhika na bei ni pm
 
SAMSUNG J5 2016
SIMU NI MPYAA KABISA
KWA TSH 430000
NO 0752657649
LOC DSM
 
Mvua za Dar hazijawahi Tuacha waganga njaa salama duh.[emoji85]
Isiwe tabu nauza ki iphone changu kishingo upande.

Iphone 5s 32 gb
Condition Clean like new with neither scratches nor dents.
Colour gold
Memory 32 gb
Fingure print (wee na dole lako tuu mkuu)
Network 4g LTE


Price 330k (330,000/-)
Alaf kuna watu wasio na huruma watataka bado wapunguziwe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nahitaji hizi simu kwa pamoja, zisiwe na shida yeyote pamoja na accessories zake na very minor scratches au none at all!

Tecno J8 Max 160000
tecno W5 Max 160000
Samsung galaxy grand prime plus Max 170000
samsung Note 3 Max 220000

call/text
 
huawei Y541-u02 inauzwa 120,000/- au exchange na Samsung Note 2 naongeza na pesa...


Njoo whatsapp 0652105601 nipo mwanza
 
Tecno Camon Cx mpyaaa kabisa inahitaji 320,000 inakuwa yako.
Ina 16 Gb internal memory
Camera 16 Megapixel mbele na nyuma
4G network ina support
Fingerprint
Adroid ni 7.0
Kioo kikubwa na picha ang'avu
Kama vp njoo pm au 0713 333078
 
Naitaji tecno CX or W5 or C9 nakupa account ya insta yenye 31k 10.1k 10.5k pamoja na sh elfu 35 na simu ndogo [emoji125] [emoji125] [emoji125] nko sirious

0674250886 whatsap

. Location mwanza
 
Nauza cm toka China in jamii ya oppo ina GB 128 ram six GB bei 400000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…