Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Wadau nina blackberry z10 nauza 350,000,pia ninayo galaxy s5 nauza 500,000 ina saa yake ambapo simu unaweza kuiacha nyumbani ukavaa saa tu na ukaendelea kupokea simu,kupiga,kutuma sms n.k.in short ni watch gear fit.simu zimesimama.

Unaweza kunisaidia kwa kunipa hizo specification zake za hiyo sumsang garaxy s5?
 
Wale wenye matatizo na simu zao,msaada upo huku0715378899
 
Naomba unisaidie ndugu kwa kuifungua simu yangu imejilock baaada kuingiza password mara nyingi

Simu aina gani? Password yenyewe ya ukweli unaikumbuka (unaijua) au ndio simu za deal?

Kama Android OS fanya hard_reset itafuta kila kitu kwrnye simu uanze upya tu.
 
Simu aina gani? Password yenyewe ya ukweli unaikumbuka (unaijua) au ndio simu za deal?

Kama Android OS fanya hard_reset itafuta kila kitu kwrnye simu uanze upya tu.

Sasa sijajua ninamna gani nitaingia mpaka nikapata hiyo option ya reset kwani pattern zimekuwa locked ndugu
 
Wadau nina blackberry z10 nauza 350,000,pia ninayo galaxy s5 nauza 500,000 ina saa yake ambapo simu unaweza kuiacha nyumbani ukavaa saa tu na ukaendelea kupokea simu,kupiga,kutuma sms n.k.in short ni watch gear fit.simu zimesimama.

Mkuu bado unazo???
 
Wajasiria Mali nahtaj Nokia lumia 41 megapixel ......pm tufanye deal location dar au unguja
 
Nauza Sony Experia Z (L36H) 480000. Ni mpya kabisa.
Pia ipo BlackBerry 9900 bei ni 330000
Na pia ipo LG Nexus 5 bei ni 380000(used).
Ni pm au nicheki WhatsApp 0715223767
 
huawei ascend y550 4g lte nmeitumia siku 20
laki mbili tu.
 
TECNO BOOM J7 mpyaa inauzwa kwa bei poa kabisa sh 250000/=
Ina kila kitu charger earphone na warrantee ya mwaka mzima Touch screen Internal memory 16 GB Adroid version
Kwa anaeitaji Call 0717 751644
 
Nauza LG G3 imetumika kwa muda wa mwezi mmja tu bei ni 380, 000 maelewano yapo na ipo katika hali nzuri kabisa.mawasiliano 0756169666
 
Nauza LG G3 imetumika kwa muda wa mwezi mmja tu bei ni 380, 000 maelewano yapo na ipo katika hali nzuri kabisa.mawasiliano 0756169666

Mkuu hii kitu u sure its not clone... Nachukua number yako aiseee
 
nina samsung galaxy note 3 clone naiuza 180,000

nina nokia lumia 535 mpya... naiuza 280,000
 
Back
Top Bottom