Wadau nina blackberry z10 nauza 350,000,pia ninayo galaxy s5 nauza 500,000 ina saa yake ambapo simu unaweza kuiacha nyumbani ukavaa saa tu na ukaendelea kupokea simu,kupiga,kutuma sms n.k.in short ni watch gear fit.simu zimesimama.
Piga humu0715378899Naomba unisaidie ndugu kwa kuifungua simu yangu imejilock baaada kuingiza password mara nyingi
Naomba unisaidie ndugu kwa kuifungua simu yangu imejilock baaada kuingiza password mara nyingi
Simu aina gani? Password yenyewe ya ukweli unaikumbuka (unaijua) au ndio simu za deal?
Kama Android OS fanya hard_reset itafuta kila kitu kwrnye simu uanze upya tu.
Wadau nina blackberry z10 nauza 350,000,pia ninayo galaxy s5 nauza 500,000 ina saa yake ambapo simu unaweza kuiacha nyumbani ukavaa saa tu na ukaendelea kupokea simu,kupiga,kutuma sms n.k.in short ni watch gear fit.simu zimesimama.
Sony Xperia Z iko katika hali nzuri imekuwa ikitumika na msichana bei 370,000/- mwenye uhitaji anipm
Mkuu bado unazo???
Fast copy nnazo
Nauza LG G3 imetumika kwa muda wa mwezi mmja tu bei ni 380, 000 maelewano yapo na ipo katika hali nzuri kabisa.mawasiliano 0756169666
Nauza LG G3 imetumika kwa muda wa mwezi mmja tu bei ni 380, 000 maelewano yapo na ipo katika hali nzuri kabisa.mawasiliano 0756169666
Mkuu hii kitu u sure its not clone... Nachukua number yako aiseee