Wauza smartphone tukutane hapa

Tafuta maana ya wisdom...
 
Habari... ninatumia simu aina ya OPPO R8 107... Tatizo lake google play store haifunguki.. ukijaribu kufungua inakata.. Naombeni msaada tafadhali..
 
IPhone 6 s plus inahitajika haraka sana .. Kama unayo njoo PM
 
Chief unaweza kuwa na mwongozo wap nitapata display ya Iphone 5 kwa bei ya punguzo
mtaa huo huo wanapatikana mafundi wote na wa iphone yupo hapo.hiyo mpya anafanya kwa 70,ukibahatisha used itashuka zaidi.
 
S7 edge imetumika two weeks kwa 780.000tuu haina tatizo lolote location kimara
 
Nokia 2, Duos, ina support 4G na ina 8GB, colour black, imetumika wiki 2 kil kitu kipo including accessories

Tsh. 315,000 tu
 
Nina Samsung J7 kioo kimepasuka ila inafanya kaz, bei 250k
 
Jipatie vioo vya samsung galaxy s5 vipyaaa, kwa bei rahisi. Malipo ni baada ya kuhakikisha kioo kinafanya kazi.

Bei: 170,000
Napatikana. DSM
 
Ni single line boss wangu,
Even though huwa kuna duos chache sanaaa tena nyingi ni regional phones.
Hehe. Ukiwa na duos ya aina hiyo tunaweza fanya biashara. Napenda sana izi simu (zenye curved screen. Edge) lakn kuwa single line tuu kunanishinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…