Wauza smartphone tukutane hapa

Nokia 6
32GB rom
3GB ram
Network 4g/3G/2G
Camera 16mp 8mp
Still in good condition.
Price ni 400k
 
Samsung Galaxy s6 (64 gb) Full box + a free glass protector

Color Dark blue
Memory 64 gb
Ram 3 gb
Camera 16 mp
Networks 4G LTE
Price 420,000/-
Location Ilala/Agrey St Kariakoo
Contacts 0652332255

 
Tatzo wabongo huwa mnapenda sana kuzunguka. Tambua mimi sinunui Tecno kutumia. Namchukulia mtu anaeanza maisha ya smartphone. Sasa unavyoanza kukomaa mara 80 baadae mara unakubali 70 ndo nn!
usijari boss...wabongo sie utuzoee muuzaji hataki loss na mnunuaji hataki loss ni principle tu ya biashara...kubagein,kupandishiana bei na kushushiana bei ni kawaida kwenye biashara.......kuna muda mnunuaji ananua kwa sababu hana jinsi hata kama sio hicho anachokitaka vivyo hivyo kwa muuzaji....usiwaze mkuu ndo biashara hiyo...[emoji120]
 
Asante. Aya tuendelee kulijenga Taifa
 

Mkuu Iphone 4 kwa sasa haina tofauti sana na kitochi, ilichozidi kitochi ni camera na internet tu. Iphone haisupport tena whatsapp wala instagram
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…