M nimeelewa ulichomaanisha, ukweli n kwamba n zaid ya hatari, na uhatari mkubwa upo kwenye suala la kiusalama na si ubovu wa simu,TAHADHARI:
Usinunue wala kutumia simu 'Used' iliyokuwa Inatumiwa na mtu mwingine. NI HATARI SANA.
Yaani dukani note 4 350k hadi 380k ila wewe note 3 unauza 450k hahahah huwezi kuwa mzima.Note 3 bado mpyA
Price 450k
Contact 0758290320
Location Dsm
Ili tukose wateja au....kwa mm nkitaka kuuza simu yangu nmuuzie naniSmartphone ya kununua Kwa mtu be careful,kuna jamaa yangu ana kesi ya kuvunja na kuiba kwenye nyumba ya mtu kisa Smartphone tena kadakwa baada ya mwaka kupita.Anadaiwa kuwa alivunja nyumba ya mtu mitaa ya Bunju na kuiba simu,na vitu vingine vyenye thamani ya zaidi ya Milioni Saba.Kasota kinoma kituo cha polisi mabwepande
Vivo y85A
4GB RAM
64GB ROM
Camera 16 /12mp
Price 380,000tshView attachment 887855View attachment 887858View attachment 887860View attachment 887862
Ukifika 150K kesho naichukuaTecno camon cx.
Ram 2gb.
Internal 16gb.
Camera 16/16.
Ina 4g
Inahitajika 230k.
Nicheki 0743253260 kwa picha na biashara
NB: Ipo kwenye hali nzuri
location ni mbeyaView attachment 912012
180K ipo
Mwenyewe nimeshangaa, nimeona hilo tangazo nikazimia kwanza, achana na note 4, hio hio hela yake unapata note 5 used safi kbsa au ukiongeza 50-100 unabeba mpya,Yaani dukani note 4 350k hadi 380k ila wewe note 3 unauza 450k hahahah huwezi kuwa mzima.
Si mpya izo ni refublishMwenyewe nimeshangaa, nimeona hilo tangazo nikazimia kwanza, achana na note 4, hio hio hela yake unapata note 5 used safi kbsa au ukiongeza 50-100 unabeba mpya,
Sasa note 3 na note 4 au 5 ipi ya kwanza kutoka na je unahisi note 3 ns note 4 ipi itakuwa refublish ya kwanza ukiziweka kwenye kundi hilo.Si mpya izo ni refublish
Ukipata nitag na mm nichkue
Bado mkuu na sema sjalogin hum muda kidgo VP umepata?Vp umepata mkuu!
Bado mkuu na sema sjalogin hum muda kidgo VP umepata?
Mkuu ukipata Mwenye Samsung $6 Edge yyte ile ili mrad tu iwe kwenye muonekano mzur ww ulye mbeya ni Jiran na nilipo so hapo naweza fika chap na kugeuza nikarud kwenye majukum Yangu bajet yngu ni 350kTecno camon cx.
Ram 2gb.
Internal 16gb.
Camera 16/16.
Ina 4g
Inahitajika 230k.
Nicheki 0743253260 kwa picha na biashara
NB: Ipo kwenye hali nzuri
location ni mbeyaView attachment 912012