Wauza smartphone tukutane hapa

HTC DESIRE EYE
STORAGE 16GB
RAM 2
CAMERA 13MP LED FLASH
SELFIE CAMERA 13MP LED FLASH
BEI 200000
 

Attachments

  • Screenshot_20181114-111856~2.jpeg
    21.9 KB · Views: 36
Samsung note 4
Storage Gb 32
Ram gb 3
Android 6
Camera m16
Location :Mbeya
Price: 300k
 
Tecno w4 iko vzur haina tatzo lolote. Ram 1 gb memory ya ndan 16 gb camera nzuri knoma. Bei 140000 nicheki whatsapp au piga 0744101064 npo mwanza
 
Wakuu natafta infinix note5 ama infinix note3 pro muuzaji njoo tuelewane bei
 



Iphone 5s 16gb
Fingerprint OKAY
Bei ni 260k
Location Tabata kinyerezi
Nicheck 0763976109
 
Sasa mkuu mfano humu jukwaani nimependa mzigo mm nipo mbeya mwenye sim dar itakuwaje hapo mana yake nifunge safar mkuu niende tukaandikishane huko.au ww unashaur nn hapo kulingana na tahadhali yako???
 
Sasa mkuu mfano humu jukwaani nimependa mzigo mm nipo mbeya mwenye sim dar itakuwaje hapo mana yake nifunge safar mkuu niende tukaandikishane huko.au ww unashaur nn hapo kulingana na tahadhali yako???
ahaaa, basi akutumie picha ya kitambulisho na reseat yenye jina la kwenye kitambulisho uhifadh pamoja na kuhfadh msg za makubaliano ya biashara au screenshot ya msg muhm, kama hana kimoja hasa reseat basi akutumie video akikiri kukuudhia bidhaa husika bila kusahau model na bidhaa nayo ionekane kwenye video, tulimchangia rafk yetu 7M na yeye akamaliza assets zote kwa mistake ndogo tu ya kununua s6 egde ya wizi, nimeshuhudia kesi si chin ya tatu za namna hio
 
Anayehitaj kuna tecno cx camon haina tatzo lolote lile kwa 220k nicheki pm

Location kawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…