Imeuzwa TayariBado ipo hii simu?
Tecno spark 2 unayo?Imeuzwa Tayari
Samsung note 4 used but in good condition
Storage Gb 32
Ram gb 3
Android 6
Camera m16
Location :Mbeya
Contact 0625715865
Price: 300kView attachment 935176View attachment 935177
Mkuu amna maslahi apo jiongeze nikuachie simu
i
i phone haipigi pic nzuri.
Ipo Tecno K9 Spark PlusTecno spark 2 unayo?
Weka picha tuioneGalaxy j6 plus kwa 350k
Iphone 5s icloud lock,80000 IPO dar ya Silver
Weka picha tuione
Sasa mkuu mfano humu jukwaani nimependa mzigo mm nipo mbeya mwenye sim dar itakuwaje hapo mana yake nifunge safar mkuu niende tukaandikishane huko.au ww unashaur nn hapo kulingana na tahadhali yako???M nimeelewa ulichomaanisha, ukweli n kwamba n zaid ya hatari, na uhatari mkubwa upo kwenye suala la kiusalama na si ubovu wa simu,
Waliowah kukutwa na hili janga au walioshuhudia kwa mtu kama nilivyoshuhudia ndo watakuelewa.
Kama hamna jinsi basi jitahd akupe na reset aliyonunulia na mkabidhiane kwa maandishi na sahihi na ikbd yarekodiwe hata kwa video,
Waweza uone n uzwazwa au kupoteza mda ila likitokea la kutokea utajuta,
Mimi asahv hata USB kwa mtu sinunui bila kujirdhsha kama ni salama na nitabaki salama
ahaaa, basi akutumie picha ya kitambulisho na reseat yenye jina la kwenye kitambulisho uhifadh pamoja na kuhfadh msg za makubaliano ya biashara au screenshot ya msg muhm, kama hana kimoja hasa reseat basi akutumie video akikiri kukuudhia bidhaa husika bila kusahau model na bidhaa nayo ionekane kwenye video, tulimchangia rafk yetu 7M na yeye akamaliza assets zote kwa mistake ndogo tu ya kununua s6 egde ya wizi, nimeshuhudia kesi si chin ya tatu za namna hioSasa mkuu mfano humu jukwaani nimependa mzigo mm nipo mbeya mwenye sim dar itakuwaje hapo mana yake nifunge safar mkuu niende tukaandikishane huko.au ww unashaur nn hapo kulingana na tahadhali yako???