mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
Mmmmmmh android tenaaa mbona kama mchina huyoooo
Mkuu unazijua simu kweli ww?
Hizo dharau sasa mkuu simu clone za kichina ndio huandika neno android wakati wa kuwasha kama hiyo yako
Umekalili mkuu
SAMSUNG S6 EDGE. new inbox 32GB. Darkbluee in colour ipo skon kama unahitaj call me 0765024294 au 0658250948
Iphone 6s from Uk,32gb iko kwenye good conditions kama unavyoiona hapo,call me ukiihitaji 0767242454
Haya sasa chombo hiyo hapo kama unavyoiona GALAXY NOTE 4 iko na hali nzuri sana,ukiihitaji call me 0715242454,0767242454
nauza laini ya tigo pesa airtelmoney na vodacom kwa mawasiliano 0784608037 simu yangu sio ya smart phone nipigie tuelewane nipo dsm
tecno phantom z min ina ka crack kidogo ila kuona hiyo crack ni kwashida sana. Tsh250000
Hahaha hays mkuu binafsi me nikiona simu boot animation yake inaandika android huwa nakuwa sina imani nayo hata kama ni original coz huwa nawaza may be imefanyiwa customization.soory kama ulinielewa vibaya mkuu
Natafta smatphone nina elfu 40
Mkuu Kwa hali hiyo hutouza ng'oo piga picha vizur,ionekane au Angalia wenxako juu hapo jinsi ya kupiga lol
View attachment 297692
Ndo simu nnayotumia kioo kipo vizur kabsa ni kama kipya maana kina screen protector ya kioo
nishaona clone note 4 ukiiboot inaandika android katikat ya screen ila kdogo na hyo nna waswas nayo ila sina uhakika
Hahaha hays mkuu binafsi me nikiona simu boot animation yake inaandika android huwa nakuwa sina imani nayo hata kama ni original coz huwa nawaza may be imefanyiwa customization.soory kama ulinielewa vibaya mkuu
nyi mnaongea khs mediatek ungeuliza mediatek ni nini