Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nahitaji smartphone ya bei ndogo sana kwa ajili ya kuungia tu hotspot kwenye laptop. Kama una smart yoyote inayofiti kwenye hiyo criteria njoo PM au nicheck 0673247812. Pesa ipo mfuko wa shati.
Tafuta kitekno c5 mie nilikuwa nakitumia kwa kazi hyo kana 4g hako utakapata kwa bei chee nilitumia mpaka ilipokufa kioo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iphone 6+
16gb
Finga print
Ipo sokoni ninashida napesa
Ina clak kidogo, vingine vyote vinapiga kazi poa njoo ukague simu unipe pesa nipo tabata kimanga
0764870930
IMG-20190320-WA0012.jpeg
IMG-20190320-WA0004.jpeg
IMG-20190320-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
S4 ya zamani hiyo unauzaje laki2?peleka kijjn kwen!
Galaxy s4 mini mpya kabisa inauzwa kwa shilingi 200,000 na SONY EXPERIA Z3 mpya inauzwa shilingi 300,000 NB simu zote ni mpya hazijatumika mawasiliano 0672727316 location kigamboniView attachment 1027912View attachment 1027913View attachment 1027914View attachment 1027915View attachment 1027916View attachment 1027917View attachment 1027918View attachment 1027919

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imu bado ipo inahitaji mnunuzi ina crak kidodo
Ila kila kitu kinafanya kazi
Finga print, 16gb
Mnunuzi uwe seriously sitaki mataperi maana kuna wapuuzi wanakuja kumbe ni wezi jana wametaka kuniibia. Sasa mnaokuja kwa gear ya mimi askari kumbe wezi,muwe makini na tangazo langu
0764870930
IMG-20190321-WA0011.jpeg
IMG-20190321-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
imu bado ipo inahitaji mnunuzi ina crak kidodo
Ila kila kitu kinafanya kazi
Finga print, 16gb
Mnunuzi uwe seriously sitaki mataperi maana kuna wapuuzi wanakuja kumbe ni wezi jana wametaka kuniibia. Sasa mnaokuja kwa gear ya mimi askari kumbe wezi,muwe makini na tangazo langu
0764870930View attachment 1050986View attachment 1050988

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuongeaongea sana ndo unawaongezea mbinu. Sema simu ni model gani watu wajue wanafanyaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom