Wauza smartphone tukutane hapa

Laptop imetumika wik tatu tu
ACER, HDD 500gb, RAM 4gb, processor spid 2.1gh, Screen 15', Colour Black.
Bei maelewano wats app 0788155555

Vile vile kuna iPhone 5, internal mem 16gb, Colour Black, Screen protector and black plastic cover.
Bei maelewano wats app
0788155555
 
Hv jyna clone ya iphone duniani?msiharibu biashara za watu jamani?
 
ORIGINAL samsung galaxy s5 16gb 16mp 5.1inch inauzwa inacrack kwenye mfuniko
kwa nyuma na kwenye kioo kidogo saana hata haionekani kiwepesi. bei chee haina tatizo lolote
kwa 380000 nicheki pm.

Fanya 300000 whatsap me 0767038109
 
Wale mafundi simu, nauza s3 yangu kwa ajili ya vifaa.
Simu iko katika hali nzuri,kioo hakina scratch. nimeambatanisha na picha.
Bei ni laki 1,kwa mawasiliano zaidi nicheki PM.

Tatzo lake kubwa ni nin ??
 
Ninauza HUAWEI Y530,BEI 150,000/= . Picha nitaileta baadae
wasiliana na 0713 689665
 
nauza samsung s4 original tena iko fully boxed ina kila kitu chake yani mpyaaaaa 490,000 check 0629267334 nipigie au tuma sms
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…