Dah... Umenifumbua macho bro manake niliwahi kuwa na Note 4 ilikua inachemka sana mpk kuishika inakua ngumu hasa ikiwashwa data, niliuza na nilikua na mpango nitafute nyingine lkn itabidi niachane nazo tuBetri ya hizo note 4 ni mtihani boss.
Kwanza kupata OG sio rahisi kabisaaaa
Utauziwa betri unaambiwa ni OG kwa 30K lakini inakaa na chaji masaa kadhaa imeisha bora ununue zile za kichina 15K.
Simu ya Note 4 kwa ujumla ni pasua kichwa.
I speak from experience
Note 4 hazifai, nilikua nayo ilinisumbua kuanzia betri, kuchemka.Dah... Umenifumbua macho bro manake niliwahi kuwa na Note 4 ilikua inachemka sana mpk kuishika inakua ngumu hasa ikiwashwa data, niliuza na nilikua na mpango nitafute nyingine lkn itabidi niachane nazo tu
cleak ndio nini
Creak
Samsung A30 mnauza sh ngap
Bei gnTecno spark 3 pro 2019
Used three weeks
Bei ykTecno spark 3 pro 2019
Used three weeks
Samsung S6 edge+ internal Gb32 Ram Gb4 bado ipo clear
Bei: 300k
Location: darView attachment 1237467View attachment 1237470View attachment 1237471
Zipi hizo za kichina mkuuBetri ya hizo note 4 ni mtihani boss.
Kwanza kupata OG sio rahisi kabisaaaa
Utauziwa betri unaambiwa ni OG kwa 30K lakini inakaa na chaji masaa kadhaa imeisha bora ununue zile za kichina 15K.
Simu ya Note 4 kwa ujumla ni pasua kichwa.
I speak from experience
Bei inamaongezi?Itel s33 iko poa kabisa wala aina michubuko.
Bei tsh 140000
nitafute kwa namba 0652868486