Wauza smartphone tukutane hapa

Wengine washamba jamani,maana natumia tecno mchina line mbili,hata nikiibiwa silii.
Hembu tuambieni simu gani hasa zinauwezo wa kufanya navigation kama hii hapa chini.
Na bei zake kwa iliyo bora zaidi ni kiasi gani
 

Attachments

  • 1.JPG
    226.1 KB · Views: 694
mwenye
SAMSUNG GALAXY CORE PRIME yenye
4G LTE
na anaiuza anipm please
 
Wengine washamba jamani,maana natumia tecno mchina line mbili,hata nikiibiwa silii.
Hembu tuambieni simu gani hasa zinauwezo wa kufanya navigation kama hii hapa chini.
Na bei zake kwa iliyo bora zaidi ni kiasi gani

Kama sio google map kwenye computer hiyo simu itakuwa kiboko
 
Mwenye simu aina ya HTC GLACIER(my touch) isiwe slid, hata kama ni mbovu, ila bodi lake liwe katika hali nzuri. Mwenye nayo aje Pm.
 
Natafuta IPhone 4 au 5, kwa mwny nayo tuwasiliane Tafadhali
 
S5 white used in a good condition for sale 550 , note 3 used in a good condition 450
 
samsung galaxy grand prime inauzwa bei 220k niko dar No 0714702720
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…