Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Wengine washamba jamani,maana natumia tecno mchina line mbili,hata nikiibiwa silii.
Hembu tuambieni simu gani hasa zinauwezo wa kufanya navigation kama hii hapa chini.
Na bei zake kwa iliyo bora zaidi ni kiasi gani
attachment.php
 

Attachments

  • 1.JPG
    1.JPG
    226.1 KB · Views: 694
mwenye
SAMSUNG GALAXY CORE PRIME yenye
4G LTE
na anaiuza anipm please
 
Wengine washamba jamani,maana natumia tecno mchina line mbili,hata nikiibiwa silii.
Hembu tuambieni simu gani hasa zinauwezo wa kufanya navigation kama hii hapa chini.
Na bei zake kwa iliyo bora zaidi ni kiasi gani
attachment.php

Kama sio google map kwenye computer hiyo simu itakuwa kiboko
 
Mwenye simu aina ya HTC GLACIER(my touch) isiwe slid, hata kama ni mbovu, ila bodi lake liwe katika hali nzuri. Mwenye nayo aje Pm.
 
S5 white used in a good condition for sale 550 , note 3 used in a good condition 450
 
samsung galaxy grand prime inauzwa bei 220k niko dar No 0714702720
 
Back
Top Bottom