Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

IMG_1735.JPG



Available

iphone 6 plus 16gb[emoji336]
Full boxed new
400k ... [emoji403]

i phone 8 [emoji336]64gb
New
700k

i phone 7 plus [emoji336]32gb
Used
Finger print [emoji777]
600k

Contacts [emoji337]️ 0672255842

Location: Sinza Mugabe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Naona sasa Umeongea ukweli.. na bahati nzuri ni Muuza simu.. BIG UP kwa hilo... Nasemaga sana humu...
HUWEZI PATA SIMU YA ANGALAU 3YRS AGO MPYA LEO KIRAHISI, HASA HIZI HIGH END.
Mfn iphone 7 au S7, Hata S8 & S9 yenyewe kupata yenye Original Seal yake utatoka jasho...

Eti mtu unapiga picha simu Umeishika mkononi.. halaf unasema BRAND NEW kisa ina boks na kila kitu chake pembeni...
Hivi Unaelewa maana ya brand new?..

Simu nying HIGH END za miaka ya nyuma...
Haina ubishi Town zimejaa.. refurb na Mtumba,
Hasa hao iphones ambao refurb zao zinawekwa kwenye White cheap boks, Sasa mtu akiona hivyo anadhan ni Mpya....

Biashara ni uwazi.....,Uaminifu
Lugha nzuri na ziada uvumilivu...
Ngumu kumeza
Ila tamu mdomoni

K,K
 
PHONE :iPHONE 11 PRO MAX (DUOS)
CAPACITY: 64GB
BATTERY: 98%
COLOUR: NIGHT GREEN
CONDITION: GOOD CONDITION(brand new)
PRICE: 2,800,000 TSH
LOCATION: SINZA MADUKANI & KARIAKOO @itechnology
Inquiries: 0714 036595 whatsapp&call
 

Attachments

  • IMG-20200325-WA0019.jpg
    IMG-20200325-WA0019.jpg
    52.6 KB · Views: 2
  • IMG-20200325-WA0018.jpg
    IMG-20200325-WA0018.jpg
    63.9 KB · Views: 2
  • IMG-20200325-WA0017.jpg
    IMG-20200325-WA0017.jpg
    57.3 KB · Views: 2
  • IMG-20200325-WA0016.jpg
    IMG-20200325-WA0016.jpg
    62 KB · Views: 2
Back
Top Bottom