Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Wakuu natafuta kitochi cha bei ya chini
Sifa kuu kiwe kinaonyesha SMS backvround nyeupe na maandishi meusi
Nokia 106- 48,000
Nokia 105- 45,000
 

Attachments

  • 5497E943-CC21-4766-9589-E932450C7DAC.jpeg
    5497E943-CC21-4766-9589-E932450C7DAC.jpeg
    52.4 KB · Views: 5
  • 8356E3A3-ECB1-4FB2-A4E1-B0329437E673.jpeg
    8356E3A3-ECB1-4FB2-A4E1-B0329437E673.jpeg
    54.1 KB · Views: 5
ANKER sound core -elfu 95 tu [emoji91]

limited stock wahi mapema
specs -very portable
-24hrs play time
-deep bass..and clear loud sound
-very durable and great build quality

piga simu namba 0713358355
kupata bluetooth spika yako

#Ankersoundcore #discountonlineshop
#barakagadgets
#vunjabei
#udism
#daressalaam
A1FB8D64-1D69-4A86-ADB3-728FBB632FAD-1302-000000B34DC6A234.jpg
240BC4A0-5E98-45D7-B2E0-1473B5499D1E-1302-000000B2B877CF06.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
nahtj kiswanswadu kilicho katika ubora mzuri vinatakiwa 2 bajt ya vyote ipo 40k


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
INFINIX SMART THREE PLUS
internal 32gb
ram 2gb
android 9.0
4g both line
triple camera 16mp
selfie 8mp
kioo cha touch kina nyufa ila kina fanya kazi vizury kabisa
0688591214
bei 200,000
arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tecno camon cm iko vizuri kama unavyoiona hapa, bei 150000
Note: bei hii haipungui wala kuongezeka
 

Attachments

  • IMG-20200420-WA0011.jpg
    IMG-20200420-WA0011.jpg
    28.5 KB · Views: 4
  • IMG-20200420-WA0010.jpg
    IMG-20200420-WA0010.jpg
    22.1 KB · Views: 4
  • IMG-20200420-WA0008.jpg
    IMG-20200420-WA0008.jpg
    22.8 KB · Views: 4
PHONE :iPHONE 11
CAPACITY: 64
BATTERY:100%
COLOUR: RED PRODUCT
CONDITION: BRAND NEW
PRICE: 1,800,000
LOCATION: SINZA MADUKANI & KARIAKOO @itechnology
Inquiries: 0714 036595
 

Attachments

  • A3989D7A-9C41-4C8D-9F19-04F1EE040985.jpeg
    A3989D7A-9C41-4C8D-9F19-04F1EE040985.jpeg
    97.9 KB · Views: 4
  • AEB268A6-18E8-4A2D-A15D-DF5593F055AA.jpeg
    AEB268A6-18E8-4A2D-A15D-DF5593F055AA.jpeg
    103.4 KB · Views: 4
Jayphones&services Phone Price List


SAMSUNG A SERIES

Samsung A2 Core 16GB- Tsh 200,000
Samsung A01 2GB RAM 16GB- Tsh 240,000
Samsung A10S - Tsh 290,000
Samsung A20S - Tsh 430,000
Samsung A30S - Tsh 480,000
Samsung A50- Tsh 630,000
Samsung A51- Tsh 680,000
Samsung A70- Tsh 860,000
Samsung A71- Tsh 980,000
Samsung A80- Tsh 1,330,000
Samsung Tab A- Tsh 450,000

SAMSUNG S SERIES

Samsung s6- Tsh 280,000
Samsung S7- Tsh 420,000
Samsung S7 Edge- Tsh 530,000
Samsung S8 Plus- Tsh 730,000
Samsung S9 Plus- Tsh 950,000
Samsung NoTe 9 128GB- Tsh 1,250,000

INFINIX

Infinix hot 8 LiTe- Tsh 270,000
Infinix Hot 8 4G- Tsh 295,000
Infinix S5 64GB- Tsh 400,000
Infinix S5 128GB- TSh 490,000
Infinix S5 Pro- Tsh 550,000
Infinix smart 4 16GB- Tsh 260,000
Infinix Note 6- Tsh 455,000
Infinix S4 32GB- Tsh 340,000
Infinix S4 64GB- Tsh 400,000
Infinix S5 Lite- Tsh 310,000


TECNO

TECNO S3- Tsh 89,000
TECNO F1- Tsh 120,000
TECNO R7- Tsh 150,000
TECNO POP 2F- Tsh 170,000
TECNO POP3 - 200,000
TECNO 2PLUS- 245,000
TECNO POUVOIR 3 AIR- Tsh 270,000
TECNO SPARK 4 AIR- Tsh 340,000
TECNO DROP IPAD 7F- Tsh 250,000
TECNO SPARK 4- TSh 380,000
TECNO CAMON 12 AIR- Tsh 300,000
TECNO CAMON 12- Tsh 350,000
TECNO CAMON 12 PRO- Tsh 450,000
TECNO CAMON 15- Tsh 420,000
TECNO PHANTOM 9-Tsh 580,000.

WhatsApp&CALL 0714 036595
 
Kuna watu wanauza simu alafu wanaripoti polisi wameibiwa unapo nunua kitu kwa mtu usiyemfahamu kuwa makini.


Sent using Jamii Forums mobile app

Polisi wa bongo ni njaa kali sana ndo michezo yao hii sana.
Wakijua wewe ni mtu wa kupakua simu wanakutafta wanakuambia kuna simu hapa au hata wanakuseti uvunje nao( wanakupa simu na hela kidogo) wanachukua simu kubwa zaidi. Mara nyingi huwa ni simuzenye thamani kwanzai millioni moja kwenda juu( x,xmax, 11,11pro na 11 pro max) alafu baadae wanakutafta tena wanajifanya io simu iliibiwa kuna kesi na upelelezi unaendelea blahbhlah kibao do hio simu wanakunyangaanya na pia wanakutia ndani na hela nyingine unawapa wanakula.

Huu mchezo unachezwa sana na mapolisi wa pale osterbay so vijana wenzangu wapammbanaji kuweni makini kamwe usinunue simu kwa mtu usiyemjua au rafiki yako asiyemjua hata deal iwe tamu vipi kuweni makini.
Aluta continua🤝


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mc gregor ahsante kwa taarifa ungetoa na ushauli nn kifanyike mfano umepost bidhaa uko dar anaiona mtu yuko dom je asiinunue kisa hakujui au nn kifanyike?
Polisi wa bongo ni njaa kali sana ndo michezo yao hii sana.
Wakijua wewe ni mtu wa kupakua simu wanakutafta wanakuambia kuna simu hapa au hata wanakuseti uvunje nao( wanakupa simu na hela kidogo) wanachukua simu kubwa zaidi. Mara nyingi huwa ni simuzenye thamani kwanzai millioni moja kwenda juu( x,xmax, 11,11pro na 11 pro max) alafu baadae wanakutafta tena wanajifanya io simu iliibiwa kuna kesi na upelelezi unaendelea blahbhlah kibao do hio simu wanakunyangaanya na pia wanakutia ndani na hela nyingine unawapa wanakula.

Huu mchezo unachezwa sana na mapolisi wa pale osterbay so vijana wenzangu wapammbanaji kuweni makini kamwe usinunue simu kwa mtu usiyemjua au rafiki yako asiyemjua hata deal iwe tamu vipi kuweni makini.
Aluta continua[emoji1666]


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mfano ww jossiest unapo post sim humu unapost kwa unao wajua au ni vp?nashauri bora mngetoa njia rahisi ya kusaidia kuepuka huo utapeli,kila mtu ana post bidhaa humu il watu waione ukivutiwa umtafute.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss kwema?
Mimi nishaweka humu picha yangu, kuna baadhi ya watu wanajua napopatikana na biashara nyingi nafanyia ofisini kama sio ofisini nimefanya delivery boss. Nafanyia kazi kwa uaminifu simu nauza sealed, simu ukitaka used nauza iPhone tu pekee sasa mambo ya kwenda mchongea mteja yanaanzia wapi wakati ndie boss wangu watu wanaofanya ivyo wanafanya kwa biashara ya kipindi kifupi.
 
Back
Top Bottom