Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Infinix hot S3

Internal memory 32 GB

RAM 3 GB

Camera makini.

Haina tatizo lolote, nauiza kwa sababu ya Shida Bei 190,000/=

Location; Dar

Inbox for more info.
IMG_20200716_010618_5.jpg
IMG_20200716_010621_7.jpg
 
Xiaomi Poco F1 ina hali nzuri sana ni kama mpya, ina 8gb ram, 256gb internal memory, inatoka kwa 670k, location Arusha
 

Attachments

  • 20200716_092926.jpg
    20200716_092926.jpg
    125.5 KB · Views: 2
  • 20200716_143624.jpg
    20200716_143624.jpg
    71.1 KB · Views: 2
  • 20200716_143640.jpg
    20200716_143640.jpg
    213.1 KB · Views: 2
  • 20200716_143722.jpg
    20200716_143722.jpg
    144.9 KB · Views: 2
  • 20200716_143732.jpg
    20200716_143732.jpg
    88.4 KB · Views: 2
  • 20200716_143935.jpg
    20200716_143935.jpg
    121.2 KB · Views: 2
  • 20200716_143942.jpg
    20200716_143942.jpg
    117.1 KB · Views: 2
Salaam wakuu...

Naomba kujuzwa tofauti kati ya iphone from CHINA/UK/AMERICA ni ipi?

Yaani nazitofautishaje!
 
Salaam wakuu...

Naomba kujuzwa tofauti kati ya iphone from CHINA/UK/AMERICA ni ipi?

Yaani nazitofautishaje!
Binafsi sifahamu kuhusu Apple za uk na US bali kuna fake iPhones ambazo kwa macho na kama sio mtumiaji mzoefu huwezi kutofautisha.
Kwa uelewa wangu IPhone takriban zote designed by Apple in California,assembled in China.
Kutambua iphone fake ni rahisi sana.ziko njia nyingi as kutambua lakini njia ya uhakika ni kwamba
Haikubali email ya Apple.(icloud)
Kinyume cha hapo kama hujawahi kutumia Apple unaweza kupigwa tu kama kawaida.
 
Iphone 6 plus 64GB
Bartery health 100
Finger OKAY
Condition CLEAN as NEW
Location Tabata Kinyerezi
Nicheck 0763976109
IMG_1493.jpg

1185a65c-eb3b-4b78-a0d9-2e5e6cffbd53.jpg

0c63a8b9-5d2a-4096-a1d2-7271cc4d7176.jpg

c1c0b82a-bdd8-471f-b387-d0a66632882b.jpg

3693a710-c5fa-456e-b4e4-3eef95048c9d.jpg
 
Kwa mahitaji ya simu n’a accessories za aina zote wasiliana na mimi 0714036595 WhatsApp &Call
 

Attachments

  • 87ED03C9-8ED7-4B75-BBC6-4517A0794807.jpeg
    87ED03C9-8ED7-4B75-BBC6-4517A0794807.jpeg
    49.8 KB · Views: 2
  • 3C212FA8-3C23-40AF-B5E9-4D470D121A6D.jpeg
    3C212FA8-3C23-40AF-B5E9-4D470D121A6D.jpeg
    41 KB · Views: 2
  • 48005C59-703B-4C3D-A313-D9C7CC5B01E4.jpeg
    48005C59-703B-4C3D-A313-D9C7CC5B01E4.jpeg
    47.8 KB · Views: 2
  • 8C452640-B35E-48CD-A74F-7A0CE44E1077.jpeg
    8C452640-B35E-48CD-A74F-7A0CE44E1077.jpeg
    63.6 KB · Views: 2
  • D6E17049-F1CB-44CF-8008-D74C1526B474.jpeg
    D6E17049-F1CB-44CF-8008-D74C1526B474.jpeg
    68 KB · Views: 2
  • 38FFBC51-BCFB-459A-A8F7-6FCE308AEC19.jpeg
    38FFBC51-BCFB-459A-A8F7-6FCE308AEC19.jpeg
    105.1 KB · Views: 2
  • E0CD4AC5-1DEF-4DF4-9A2B-2510466D9EAC.jpeg
    E0CD4AC5-1DEF-4DF4-9A2B-2510466D9EAC.jpeg
    54.2 KB · Views: 2
  • 5D079976-A9B7-49F7-8B40-DB5E2B5DB506.jpeg
    5D079976-A9B7-49F7-8B40-DB5E2B5DB506.jpeg
    50.4 KB · Views: 2
  • 7907E2EE-B01A-4C58-9816-8A217F6988FA.jpeg
    7907E2EE-B01A-4C58-9816-8A217F6988FA.jpeg
    55.6 KB · Views: 2
  • FCFFA013-2284-42F9-9C6C-3384B2921233.jpeg
    FCFFA013-2284-42F9-9C6C-3384B2921233.jpeg
    70.3 KB · Views: 2
Genuine iPhone Xs Max
64GB | Sealed New
Price 1,850,000/=
Contact 0652992919
IMG_0042.jpg

IMG_0043.jpg


Nauza simu Genuine tu Siuzi simu Refurbished za kutoka China & Dubai

FB & Insta - Mark Anthorn Original Phones
 
Genuine iPhone 6
Used 64GB | Super Clean
Price 300,000/=

NB : Siuzi Refurbished Phones Only Genuine

Contact 0652992919

FB & Insta - Mark Anthorn Original Phones
IMG_0168.jpg
 
Refurbish Phones ni simu asilimia kubwa huwa Mbovu na hufanyiwa marekebisho na kuwekaa vitu ambavyo sio Genuine..pia huuzwa bei rahisi sana kwa sababu sio Simu Genuine wala Original

mfano mzuri hizi ni bei za China

6 bei ni 170,000/=
6+ bei ni 200,000/=
7 bei ni 370,000/=
X bei ni 740,000/= mpaka 680,000/=


Simu za Samsung kama umechunguza sana na kwa umakini kuna simu huwa ukitumia kama note 4,5 au S6,S7 edge huwekwa Display na pia mashine sio Ile Genuine kwa kuwa na mapungufu hutengenezwa na kama umewahi kuona kuna Icon hubakia juu ya display mfano halisi upo kwenye picha.

Simu za iPhone hufunguliwa na kuchezewa mashine kwa ufundi wa kubadilisha vitu sana sana kama AC zilizochoka na kuwekwa zingine pia huwekwa vioo low material na Body ambazo haziko Quality hata kwa muonekano tu lakini ni lazima uwe unazijuwa kwa undani .

Baada ya hapo ndio mwenye kumiliki hizo simu kutengenezwa na dealer huakikisha anaweka sticker zake zenye maneno ya Kichina ama jina lake ila kwa sasa wauzaji wengi sio wakweli na pia hubandua hizo sticker kwa nje na hubakia kwa ndani ili mteja asiweze kujua maana wengi hawajui kukagua simu bali wanapenda kununua simu kwa bei rahisi na gharama zake zikiharibika ni kubwa sana kutengeneza ni bora kununua simu Genuine unatumia miaka mingi zaidi
IMG_0176.jpg

kama alama kwenye maeneo yenye Nut ndani na nje ili mnunuzi aweze kupewa warranty ya return huko china na dubai ila kwa wateja hutoa gurantee.

Kwa hapa kwetu Tanzania huwa hatuna Gurantee popote pale lazima upewe Warranty kwahiyo Ogopa sana unaponunua kitu chochote kile na kupewa Gurantee.

Na unaponunua simu za Refurb ni lazima ije kukusumbua hapo baadae kwa nyakati tofauti

Mfano mzuri - AC touch huwa inagoma kutouch na kuna muda inakubali simu zote za iPhone , Ac charger , Battery , Ac Battery , Ac Torch , Ac audio huwa huwezi kupiga simu wala kupokea simu na mkasikilizana , AC bluetooth and Wifi huwa haviwaki kabisa maana Ac zake zipo eneo moja kikifa kimoja hufa vyote ,

Ukihitaji kujuwa tofauti ya Warranty na Gurantee na Refrubished ingia Google kasome.

Adjustments.jpg

9cb2afe5-0d6c-47fd-ab1b-5d635ec0c697.jpg

cab93885-60bf-458f-8c4e-16f3788caefd.jpg

b6521eae-f6f1-4545-a448-4bb78603737a.jpg

edba9d2c-f021-473a-9cdb-b8ae84fd913d.jpg

772e7179-6d31-4439-97dc-69a4b5aea91d.jpg

9d7809b8-c506-41a7-94de-2cb17f22ef7e.jpg

IMG_0486.jpg


Kama una maswali zaidi au ukihitaji kufahamu zaidi
 
Genuine iPhone X
64GB | Used Super Clean
Free Glass Protector & Cover
With Original Charger
IMG_4099.jpg


No Face ID | Price 1 Million
IMG_4098.jpg



FB & Insta - Mark Anthorn Original Phones
Contact 0652992919
 
DOUGEE Y8+ Kwa 230,000/= tu
Specifications
RAM 3 GB
Internal Memory 32 GB
Rear Camera 13MP
Front Camera 8MP
Inakaa na chaji sana
Unapewa na kava
Nicheck DM

IMG_6937.JPG
IMG_6940.JPG
 
Back
Top Bottom