Wauza smartphone tukutane hapa

Infinix hot S3

Internal memory 32 GB

RAM 3 GB

Camera makini.

Haina tatizo lolote, nauiza kwa sababu ya Shida Bei 190,000/=

Location; Dar

Inbox for more info.
 
Xiaomi Poco F1 ina hali nzuri sana ni kama mpya, ina 8gb ram, 256gb internal memory, inatoka kwa 670k, location Arusha
 

Attachments

  • 20200716_092926.jpg
    125.5 KB · Views: 2
  • 20200716_143624.jpg
    71.1 KB · Views: 2
  • 20200716_143640.jpg
    213.1 KB · Views: 2
  • 20200716_143722.jpg
    144.9 KB · Views: 2
  • 20200716_143732.jpg
    88.4 KB · Views: 2
  • 20200716_143935.jpg
    121.2 KB · Views: 2
  • 20200716_143942.jpg
    117.1 KB · Views: 2
Salaam wakuu...

Naomba kujuzwa tofauti kati ya iphone from CHINA/UK/AMERICA ni ipi?

Yaani nazitofautishaje!
 
Salaam wakuu...

Naomba kujuzwa tofauti kati ya iphone from CHINA/UK/AMERICA ni ipi?

Yaani nazitofautishaje!
Binafsi sifahamu kuhusu Apple za uk na US bali kuna fake iPhones ambazo kwa macho na kama sio mtumiaji mzoefu huwezi kutofautisha.
Kwa uelewa wangu IPhone takriban zote designed by Apple in California,assembled in China.
Kutambua iphone fake ni rahisi sana.ziko njia nyingi as kutambua lakini njia ya uhakika ni kwamba
Haikubali email ya Apple.(icloud)
Kinyume cha hapo kama hujawahi kutumia Apple unaweza kupigwa tu kama kawaida.
 
Iphone 6 plus 64GB
Bartery health 100
Finger OKAY
Condition CLEAN as NEW
Location Tabata Kinyerezi
Nicheck 0763976109



 
Kwa mahitaji ya simu n’a accessories za aina zote wasiliana na mimi 0714036595 WhatsApp &Call
 

Attachments

  • 87ED03C9-8ED7-4B75-BBC6-4517A0794807.jpeg
    49.8 KB · Views: 2
  • 3C212FA8-3C23-40AF-B5E9-4D470D121A6D.jpeg
    41 KB · Views: 2
  • 48005C59-703B-4C3D-A313-D9C7CC5B01E4.jpeg
    47.8 KB · Views: 2
  • 8C452640-B35E-48CD-A74F-7A0CE44E1077.jpeg
    63.6 KB · Views: 2
  • D6E17049-F1CB-44CF-8008-D74C1526B474.jpeg
    68 KB · Views: 2
  • 38FFBC51-BCFB-459A-A8F7-6FCE308AEC19.jpeg
    105.1 KB · Views: 2
  • E0CD4AC5-1DEF-4DF4-9A2B-2510466D9EAC.jpeg
    54.2 KB · Views: 2
  • 5D079976-A9B7-49F7-8B40-DB5E2B5DB506.jpeg
    50.4 KB · Views: 2
  • 7907E2EE-B01A-4C58-9816-8A217F6988FA.jpeg
    55.6 KB · Views: 2
  • FCFFA013-2284-42F9-9C6C-3384B2921233.jpeg
    70.3 KB · Views: 2
Genuine iPhone Xs Max
64GB | Sealed New
Price 1,850,000/=
Contact 0652992919


Nauza simu Genuine tu Siuzi simu Refurbished za kutoka China & Dubai

FB & Insta - Mark Anthorn Original Phones
 
Genuine iPhone 6
Used 64GB | Super Clean
Price 300,000/=

NB : Siuzi Refurbished Phones Only Genuine

Contact 0652992919

FB & Insta - Mark Anthorn Original Phones
 
Refurbish Phones ni simu asilimia kubwa huwa Mbovu na hufanyiwa marekebisho na kuwekaa vitu ambavyo sio Genuine..pia huuzwa bei rahisi sana kwa sababu sio Simu Genuine wala Original

mfano mzuri hizi ni bei za China

6 bei ni 170,000/=
6+ bei ni 200,000/=
7 bei ni 370,000/=
X bei ni 740,000/= mpaka 680,000/=


Simu za Samsung kama umechunguza sana na kwa umakini kuna simu huwa ukitumia kama note 4,5 au S6,S7 edge huwekwa Display na pia mashine sio Ile Genuine kwa kuwa na mapungufu hutengenezwa na kama umewahi kuona kuna Icon hubakia juu ya display mfano halisi upo kwenye picha.

Simu za iPhone hufunguliwa na kuchezewa mashine kwa ufundi wa kubadilisha vitu sana sana kama AC zilizochoka na kuwekwa zingine pia huwekwa vioo low material na Body ambazo haziko Quality hata kwa muonekano tu lakini ni lazima uwe unazijuwa kwa undani .

Baada ya hapo ndio mwenye kumiliki hizo simu kutengenezwa na dealer huakikisha anaweka sticker zake zenye maneno ya Kichina ama jina lake ila kwa sasa wauzaji wengi sio wakweli na pia hubandua hizo sticker kwa nje na hubakia kwa ndani ili mteja asiweze kujua maana wengi hawajui kukagua simu bali wanapenda kununua simu kwa bei rahisi na gharama zake zikiharibika ni kubwa sana kutengeneza ni bora kununua simu Genuine unatumia miaka mingi zaidi
kama alama kwenye maeneo yenye Nut ndani na nje ili mnunuzi aweze kupewa warranty ya return huko china na dubai ila kwa wateja hutoa gurantee.

Kwa hapa kwetu Tanzania huwa hatuna Gurantee popote pale lazima upewe Warranty kwahiyo Ogopa sana unaponunua kitu chochote kile na kupewa Gurantee.

Na unaponunua simu za Refurb ni lazima ije kukusumbua hapo baadae kwa nyakati tofauti

Mfano mzuri - AC touch huwa inagoma kutouch na kuna muda inakubali simu zote za iPhone , Ac charger , Battery , Ac Battery , Ac Torch , Ac audio huwa huwezi kupiga simu wala kupokea simu na mkasikilizana , AC bluetooth and Wifi huwa haviwaki kabisa maana Ac zake zipo eneo moja kikifa kimoja hufa vyote ,

Ukihitaji kujuwa tofauti ya Warranty na Gurantee na Refrubished ingia Google kasome.










Kama una maswali zaidi au ukihitaji kufahamu zaidi
 
Genuine iPhone X
64GB | Used Super Clean
Free Glass Protector & Cover
With Original Charger

No Face ID | Price 1 Million


FB & Insta - Mark Anthorn Original Phones
Contact 0652992919
 
DOUGEE Y8+ Kwa 230,000/= tu
Specifications
RAM 3 GB
Internal Memory 32 GB
Rear Camera 13MP
Front Camera 8MP
Inakaa na chaji sana
Unapewa na kava
Nicheck DM

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…