Wauza smartphone tukutane hapa

Chukua 300k bro nakutoa sasa ivi
hahah haifai mkuu Google Pixel ndio giants wa Android yani hii 3a inapata updates za android zote mfano sahivi ipo Android 11, wakati samsung note 8 inaishia Android 9, note 10 inaishia Android 10.. njoo kwenye camera hii ngoma hai disappoint, upande wa picha hii pixel 3 haiguswi na iphone zote hadi iphone X, cheki sample ya picha below au cheki YouTube pixel 3 vs iphone X camera comparison, pia ipo very fast yani haiwezi kulag hata siku moja yani... hizi simu wabongo bado hawajawa aware nazo ila zikishika kasi watu wanavopenda picha watasahau iphone
 
Iphone genuine ni inayotoka apple store au ununue kwenye website ya Apple, hizi iphone za huku bongo zote sio genuine na gazitengenezwi na apple, apple wanatoa tu chip ile then makampuni tofauti yanatengeneza iphone then ndo zinauzwa offline market ndio maana ni bei chee, cheki iphone XR ya makumbusho ni kama 1.3 hivi na hapo mtu ashaeka udafiri, kodi na faida yake, ila nunua iphone XR kwenye website ya apple, ni karibia 1.6m hivi .. hapo ndo utajua tofauti
 
Nasubiri latest Samsung M31s kesho iingie sokoni rasmi, yeyote mwenye njia rahisi ya kuipata Naomba tujuzane..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…