Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Chukua 300k bro nakutoa sasa ivi
hahah haifai mkuu Google Pixel ndio giants wa Android yani hii 3a inapata updates za android zote mfano sahivi ipo Android 11, wakati samsung note 8 inaishia Android 9, note 10 inaishia Android 10.. njoo kwenye camera hii ngoma hai disappoint, upande wa picha hii pixel 3 haiguswi na iphone zote hadi iphone X, cheki sample ya picha below au cheki YouTube pixel 3 vs iphone X camera comparison, pia ipo very fast yani haiwezi kulag hata siku moja yani... hizi simu wabongo bado hawajawa aware nazo ila zikishika kasi watu wanavopenda picha watasahau iphone
pixel-3-night-sight.jpg
Screenshot_20200805-080812.jpg
Screenshot_20200805-080536.jpg
 
Binafsi sifahamu kuhusu Apple za uk na US bali kuna fake iPhones ambazo kwa macho na kama sio mtumiaji mzoefu huwezi kutofautisha.
Kwa uelewa wangu IPhone takriban zote designed by Apple in California,assembled in China.
Kutambua iphone fake ni rahisi sana.ziko njia nyingi as kutambua lakini njia ya uhakika ni kwamba
Haikubali email ya Apple.(icloud)
Kinyume cha hapo kama hujawahi kutumia Apple unaweza kupigwa tu kama kawaida.
Iphone genuine ni inayotoka apple store au ununue kwenye website ya Apple, hizi iphone za huku bongo zote sio genuine na gazitengenezwi na apple, apple wanatoa tu chip ile then makampuni tofauti yanatengeneza iphone then ndo zinauzwa offline market ndio maana ni bei chee, cheki iphone XR ya makumbusho ni kama 1.3 hivi na hapo mtu ashaeka udafiri, kodi na faida yake, ila nunua iphone XR kwenye website ya apple, ni karibia 1.6m hivi .. hapo ndo utajua tofauti
 
Nasubiri latest Samsung M31s kesho iingie sokoni rasmi, yeyote mwenye njia rahisi ya kuipata Naomba tujuzane..
 
Back
Top Bottom