Mimi nataka Mi 11 itakuwa bei gani?Inafatana na mzigo mkubwa kiasi gani.Hii iliwahi kuleta shida kabla,mtu anaweka order afu mzigo ukisha fika ana kwambia ashanunua kwingine ama hela sijui next week,na hapo ndio tatizo.
So sasa hivi sharti ni unalipa 30% ya pesa ya mzigo ofisini kkoo(pysical office),then hela utamalizia mzigo wako ukifika.Hii imesaidia kutuondolea usumbufu wa mizigo inayo kosa watu wa kuchukua ikishafika.
Tangaza dau nikusakie fasta mkuu hapa Korea. karibu DM tuzungumze biashara. Mashariti ya simu ya korea ni laini moja lakini ni original kabisa
Kwa anayetaka simu za jumla kutoka China au laptop original (Refubrished ) unaweza ukanicheki.Bongo tuna ofisi Infinix building lakini bei za kuuzia bongo ni tofauti na uki order mzigo wako na tukakutumia
mkuu nina 160k tumalize200K
sawa mkuuKwa simu yoyote (used) unayotafuta
Njoo na ofa yako
Piga 0744033555
Nipo Dar
Tecno camon 12 air
Ram 3gb
ROM 32gb
Betry 4000mAh
Front camera 8mp
Back camera 16mp, 5mp & 2mp
Imetumika miezi 3 lakini ni kama mpya
Bei Tsh215,000
0692402211
Inafatana na mzigo mkubwa kiasi gani.Hii iliwahi kuleta shida kabla,mtu anaweka order afu mzigo ukisha fika ana kwambia ashanunua kwingine ama hela sijui next week,na hapo ndio tatizo.
So sasa hivi sharti ni unalipa 30% ya pesa ya mzigo ofisini kkoo(pysical office),then hela utamalizia mzigo wako ukifika.Hii imesaidia kutuondolea usumbufu wa mizigo inayo kosa watu wa kuchukua ikishafika.
kiongozi kwemaHabari vp bei gani IPHONE X 64 GB mpya mpk inafika mkononi mwangu?
How mkuuuKwa anayetaka simu za jumla kutoka China au laptop original (Refubrished ) unaweza ukanicheki.Bongo tuna ofisi Infinix building lakini bei za kuuzia bongo ni tofauti na uki order mzigo wako na tukakutumia
kiongozi kwema
Kwa mzigo kutoka China ninatuma kwa oder za jumla pekee.
64gb 800kOh okay sawa!! Unauzaje? iPhone X 64 GB