Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Ni kweli manake ata kama iwe clean as new tunategemea ingeuzwa chini ya hapo kama laki sita au hata hio saba .sasa mzee hio bei si unachukua one plus 8 mpya unaongeza almost 40 shipping fee.Asante kwa walioufanya moyo wangu usiwe mgumu kuagiza online naagiza kila nachohis bongo ni expensive
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]