Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Ni kweli manake ata kama iwe clean as new tunategemea ingeuzwa chini ya hapo kama laki sita au hata hio saba .sasa mzee hio bei si unachukua one plus 8 mpya unaongeza almost 40 shipping fee.Asante kwa walioufanya moyo wangu usiwe mgumu kuagiza online naagiza kila nachohis bongo ni expensive
Ni kweli manake ata kama iwe clean as new tunategemea ingeuzwa chini ya hapo kama laki sita au hata hio saba .sasa mzee hio bei si unachukua one plus 8 mpya unaongeza almost 40 shipping fee.Asante kwa walioufanya moyo wangu usiwe mgumu kuagiza online naagiza kila nachohis bongo ni expensive
vp hii bado ipoOFA BABKUBWA
JIPATIE DESKTOP FULL UPATE NA MODEM UNIVERSAL free
HP CORE I5
RAM 4GB DDR 3
PROCESSOR 3.1Hz
HDD GB 500
MONITOR INCH 19
BEI NI 230,000/=
PIGA 0718063361
0625055853
Mi ni flagship series hapo utundu wote wa kampuni umewekwa ila redmi zipo midrange ambazo zinaneno note na zile redmi zisizo na note ambazo ni low endHivi, mi note 10 na redmi note note 10 ipi kali zaidi kiufanisi au ni simu 1...?
Mi ni flagship series hapo utundu wote wa kampuni umewekwa ila redmi zipo midrange ambazo zinaneno note na zile redmi zisizo na note ambazo ni low end
Mi 11Ooooh Owkay nimekupata vyema, naona kwa sasa Redmi note zimefika note 10 pro, vipi kuhusu MI imefikia note gani kiongozi...?
Mi 11
Umeongea kauli nzuri sana kiongozi je utaipenda redmi 7aKama umeichoka simu yako au una simu upo nayo na uitumii basi naomba unipe mi nikupe ela ya mafuta 150,000.tsh.maana sio kuniuzia bali kama utakuwa tu unanisaidia.kwa mtu yoyote mwenye simu kali ila ameamua kunipa tu basi nicheki kwa namba 0652868486
njoo uchukue Nokia 2Kama umeichoka simu yako au una simu upo nayo na uitumii basi naomba unipe mi nikupe ela ya mafuta 150,000.tsh.maana sio kuniuzia bali kama utakuwa tu unanisaidia.kwa mtu yoyote mwenye simu kali ila ameamua kunipa tu basi nicheki kwa namba 0652868486