kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Karibu nikuuzie Samsung galaxy s6 edge mkuu
Ina vigezo vyote ulivyotaja
Ukija kwenye 160 nichek anko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu nikuuzie Samsung galaxy s6 edge mkuu
Ina vigezo vyote ulivyotaja
Sawa!!! MjombaUkija kwenye 160 nichek anko
Sawa!!! Mjomba
Mawasiliano yakoWakuu mimi nna laptop yangu naiuza. Hiyo ni baada ya kumaliza projects nilizokua naitumia kuzifanya. Iko vizuri sana kwenye graphics, gaming na kazi nyingine zinazohitaji mashine yenye perfomance kubwa. Haina tatizo lolote. Features zake ni kama ifuatavyo;
Model: LENOVO IDEAPAD 320.
Core i5, 7th GENERATION.
RAM 8 GB, DDR4.
1000 GB (1 TB) HDD.
Total Video Graphics: 6 GB.
NVIDIA GRAPHICS, GeForce 940MX.
Dedicated: 2 GB
Display: 15.6 Inches.
High Definition (HD) Display.
Ina ports za USB 3.0 na USB Type C.
Slim Design.
Kwa sasa ina Windows 11.
Bei yake ni 900,000/= tu. Kwa sasa nipo Dar.
View attachment 1980494View attachment 1980495View attachment 1980496View attachment 1980497View attachment 1980498
Ipo hii full box nicheki tufanye biasharaAnauza Tecno camon 17 pro
Nakuja DM mkuuKaribu nikuuzie Samsung galaxy s6 edge mkuu
Ina vigezo vyote ulivyotaja
Nitumie picha zake kwa watsap 0625750755Wakuu mimi nna laptop yangu naiuza. Hiyo ni baada ya kumaliza projects nilizokua naitumia kuzifanya. Iko vizuri sana kwenye graphics, gaming na kazi nyingine zinazohitaji mashine yenye perfomance kubwa. Haina tatizo lolote. Features zake ni kama ifuatavyo;
Model: LENOVO IDEAPAD 320.
Core i5, 7th GENERATION.
RAM 8 GB, DDR4.
1000 GB (1 TB) HDD.
Total Video Graphics: 6 GB.
NVIDIA GRAPHICS, GeForce 940MX.
Dedicated: 2 GB
Display: 15.6 Inches.
High Definition (HD) Display.
Ina ports za USB 3.0 na USB Type C.
Slim Design.
Kwa sasa ina Windows 11.
Bei yake ni 900,000/= tu. Kwa sasa nipo Dar.
View attachment 1980494View attachment 1980495View attachment 1980496View attachment 1980497View attachment 1980498
Tayari nimeshakutumia mkuu, cheki whatsappNitumie picha zake kwa watsap 0625750755
kama hauko mbeya mwambie mtu alie mbeya akuchukulie ilomba kwa mtawa
huu ni utotoSamsung galaxy grand prime plus inauzwa 170k niko NJOMBE View attachment 1977587
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app