Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Tecno p 5,120k,nipo morogoro nanenae imetumika miezi sita.anyone interested pm
 
Y 530 ipo vizuri bei 150,000.Nipo kkooo,na km unatatizo na cm yako tuonane humu0715378899
 
Wana jamii forums . Nipo na sony experia z2 inataka 600,000. Z3 inataka 750,000 na samsung galaxy s5 inataka 550,000 .samsung galaxy s4 450,000 . Samsung galaxy s3 inataka 300,000 .lg nexus 4 inataka 310,000.

Simu zote ni original . Z2 .z3.s5 ni practically ni mpya kabisa angusha offer yako upate picha + mawasiliano na deal likipita unapata mzigo wako serious buyers only .mzigo kotoka uk.
 
Wana jamii forums . Nipo na sony experia z2 inataka 600,000. Z3 inataka 750,000 na samsung galaxy s5 inataka 550,000 .samsung galaxy s4 450,000 . Samsung galaxy s3 inataka 300,000 .lg nexus 4 inataka 310,000. Simu zote ni original . Z2 .z3.s5 ni practically ni mpya kabisa angusha offer yako upate picha + mawasiliano na deal likipita unapata mzigo wako serious buyers only .mzigo kotoka uk.

Hizo simu zako ni used au
 
htc inauzwa ndani ya saa 1 kuanzia saa saba na dk 50 hadi 8:50 bei 80 inapungua njoo whats app uone picha 0712505049
 
Wana jamii forums . Nipo na sony experia z2 inataka 600,000. Z3 inataka 750,000 na samsung galaxy s5 inataka 550,000 .samsung galaxy s4 450,000 . Samsung galaxy s3 inataka 300,000 .lg nexus 4 inataka 310,000. Simu zote ni original . Z2 .z3.s5 ni practically ni mpya kabisa angusha offer yako upate picha + mawasiliano na deal likipita unapata mzigo wako serious buyers only .mzigo kotoka uk.

S6 iko? Bei?
 
Nina Obi F240 ni simu ndogo ya button ina power bank ndani na inacharge smartphone zote kwa uwezo mkubwa sasa huhitaji tena kununua power bank bali unapata simu yenye power bank
Bei yake ni 55000 tu.
 
Nina Obi F240 ni simu ndogo ya button ina power bank ndani na inacharge smartphone zote kwa uwezo mkubwa sasa huhitaji tena kununua power bank bali unapata simu yenye power bank
Bei yake ni 55000 tu.

Nitumie picha whatsap 0766786620 tufanye biashara

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nina note 4 mpyaa kabis hata line haijawahi kuwekwa na gharama yake ni 1.3 bei maelewano inashuka njoo tubonge.....ni 32GB
1434938392560.jpg
 
Back
Top Bottom