Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Blackberry bold touch 9900 kwa 80000 tu niko mwanza town
Namba yangu ni 0764339400
 
  • kwa sasa elephone p7000 iko kwenye "Pre Sale"
ILA kuna elephone P5000, naona ni bora zaidi upande wa battery ukilinganisha na P7000, Hii simu pia mbadala ya LENOVO P780 - (Simu iliyowahikushika record ya dunia kukaa na chaji kwa muda mrefu zaidi)

Nitakuagizia(kama utahitaji) Elephone P5000 kwa USD 222 hii ikiwa ni pamoja na shipping cost kwa DHL, hivyotegemea kuipata ndani ya siku saba (7)


NB: Kwa mdau yeyote anayehitaji kuagiziwa simu toka nnje ya nchi anaweza kuwasilina nami whatsapp #255 784 496 856 KARIBU

Bei mkuu ya hiyo elephone p5000 na ntaipataje??
 
  • kwa sasa elephone p7000 iko kwenye "Pre Sale"
ILA kuna elephone P5000, naona ni bora zaidi upande wa battery ukilinganisha na P7000, Hii simu pia mbadala ya LENOVO P780 - (Simu iliyowahikushika record ya dunia kukaa na chaji kwa muda mrefu zaidi)

Nitakuagizia(kama utahitaji) Elephone P5000 kwa USD 222 hii ikiwa ni pamoja na shipping cost kwa DHL, hivyotegemea kuipata ndani ya siku saba (7)


NB: Kwa mdau yeyote anayehitaji kuagiziwa simu toka nnje ya nchi anaweza kuwasilina nami whatsapp #255 784 496 856 KARIBU

Simshauri sana mtu anunue elephone p5000 kama anataka long battery life, nimetumia p5000 , lenovo p780, na thl 4400 , kati ya hizo elephone ndo ina battery dhaifu kushinda zote japo ina 5300 mah, thl 4400 ndio inakaa na chaji kwa muda mrefu kushinda zote ,ni nyepesi kushinda zote (149grams,) lenovo p780 180 grams, elephone p5000 ,200grams, Thl 4400 kwa sasa ndio the cheapest 99$ kutoka etotalk.
 
Hizi simu zingine ni nzuri sana tatizo zikiharibika kutengeneza ishu. Niliagiza lenovo p 780 nimetumia mwezi mmoja tu ikaanza kusumbua mtandao kila fundi naempa anaongea la kwake mwishowe ikabidi nikampa mtu alikuwa anakwenda China ndio akaenda kunibadilishia sababu ilikuwa ina warranty ya China tu, ukitaka simu inayokaa na chaji bora ununue Tecno L6 betri lake Lina ukubwa wa 4500mAh na inajitahidi kwa kweli kukaa na chaji na INA customer care
 
Ndugu TanduDume

Simu ya kuchukua ni Thl 4400 au Tecno l6 kwa ushauri wa wadau t blj ; Osaba - Penye wengi hapaharibiki jambo HUU MDIO UMUHIMU WA JF

Iangalie THL hapa
Code:
 http://www.etotalk.com/thl-4400-white_p5905.html

  • Ultraphone Ultra Long Standby Quad Core
  • Dual Sim
  • 5.0 inch HD
  • 3G 8.0MP
 
Last edited by a moderator:
Huawei y530 katika hali nzuri kabisa only 150,000,kama umeipenda reply with quote
 
Tecno R7 ,8mp front camera na 13mp back camera
16 gb internal storage ,5.5 screen. ipo katika hari nzuri .
bei 400,000/- wassap na. 0768244668… nipo Dodoma
 
Tecno h6 used iko na kila kitu. Call 0716300091
1435487188601.jpg
1435487202162.jpg
 
blackberry z10. nataka k350 0754604567.bado inang'aa aina mchubuko wowote
 
About phone..HTC incredible s710e
Processor.......1 GHz
Memory (internal) 1.12 gb
Memory(external) 8gb
Display......4 inch wvga resolution.
Main camera...8 megapixels
Front camera...1.3 megapixels.
Wifi........✔
Bluetooth.....✔
Android version...4.0.4
HTC sense....3.6
Hotspot......✔
Price.. 140,000/= fixed
1435498201104.jpg
1435498237831.jpg
1435498270594.jpg
 
Back
Top Bottom