Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Samahan kuna mtu kani text whtssp kwa bahati mbaya imefitika so plz naomba ani text tena
 
Wale wanaopenda Samsung.... Nina Samsung galaxy grand neo duos (line mbili zote 3G zinakubali)...GT-I9060 simu iko poa haina tatizo lolote INAHITAJI 250,000/= TU... NICHEKI WHATSAPP 0764 223391 UONE PICHA NA tuongee biashara
 
Nauza tecno H5 laini mbili memory card 4gb,na chaji yake pamoja na ear phone sh 110000 laki moja na kumi pia na power bank sh 20000 nichek whatssap kwa no 0753606603 au nitumie sms nipo dar es salaam
 
Natafuta Samsung note 1 au 2. kama unayo nichek kwenye namba hii tufanye business. 0753985182
 
Nauza lap top laki nne nipo mbeya aina ya lap top ni Acer ukubwa wake gibii 500. Aina tatizo lolote
 
Nauza lap top . aina ni Acer uwezo wake gibii 500. Bei laki NNE . tuwasiliane APA 0713640549.
 
Mzigo mpya 1.5 m kama unaitaji nitafute 0715 657077
 

Attachments

  • 1441650360344.jpg
    1441650360344.jpg
    33.3 KB · Views: 265
Wadau nahtaj note4 au iphone5......bajeti yangu lak3.... Pia mwenye Nokia lumia yenye camera megapixel 41 anichek....0713313020
 
BlackBerry Q5 inauzwa ipo katika hali nzur kwan Imetumika siku 18 tuu, bei 200000 tuu,kama unahitaji nitafute kwa 0672110065
 
Wadau kuna s2 hapo bado mpya kasoro box nataka 190 negotiable 0659626782 ntafte wats app kwa picha na maelewano
 
Back
Top Bottom