Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nina Samsung Galaxy S7
GB 32
Ina kila kitu chake
Mpya nimetumia mwezi
No Strach
USB connector
Nahitaji 800,000
Nipo dsm Mbezi beach ukihitaji nicheki kwa 0622 027490
Picha hapo chini
4dd9090f320bfe6982f0a6b4c14796e3.jpg
d5d7e2be20228691bc665b4b796f9840.jpg
a3658c72ae6f8cc6e4998e72c0190c31.jpg
1860f1f2ef2131bc2f7c57f128175955.jpg
 
Samsung SGH TABLET ipo katika hali nzuri sana inasoma 4g ni american tablet ukubwa wake ni nusu kioo cha laptop kwa urefu na upana, Inaingiza laini, Ina firewall, Ina 16gb internal, Ina uwezo wa kukaa masaa 6 ikiwa on 4g na masaa 12 ikiwa inafanya kazi kwa airplane mode, Bei ni laki 3 na 50. Mawasiliano ni 0783835253.
Picha nitakutumia whatsapp kwa unaye hitaji.
 
0a71a89792163a309f2e920f3c039f58.jpg
b250f0276f113e8f914350ab1225df8d.jpg
88baa55cf1cd2e1595d7dfbb7f614fe4.jpg


Samsung Galaxy S6
32Gb
Clean Condition
500k
Pm me kama unaihitaji .
 
Nina phantom6 Mpya fuulbox haijatumika Bei saw na bure sh 370000 tu niko dar call me 0625489948
 
Back
Top Bottom