Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Blackberry Z10 inauzwa,170,000/= hakuna ufa wala tatizo lolote,whatsap tu inaelekea kuaga
 
Nauza tecno c7

Internal memory 16 GB
RAM 2 GB
camera 16 MP
rangi ya Gold
Ina glass protector
Haina crack wala scratch
Bado mpya..

Bei 180,000

Mawasiliano zaidi 0659337348
 
Tecno C5 in good condition
Double lines na ina 4G
bei: 150k
Location: Keko-DSM
call/txt/whatsapp 0765961152
 
Huawei p8 lite.naitaji k260.0754604567

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Haya fasta mzigo huo LG V10

Ram 4GB
Internal 64GB
Fingerprint scanner
Network 4G
94ed5565aec378caefa4e80be31ecac8.jpg
fd9b6953c0cace58b5b2b47d642a81b5.jpg
2b5468472f90d8a201c8882ff403930f.jpg
ea72e1621eecbaab36eb0adde3f176b9.jpg


Serious buyer njoo inbox na 550,000/= yako

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
 
Mwenye L9 plus kama ni mpya au used naomba anipe bei wakuu. Thanks.
 
habarI?nitapata wapi housing na battery ya SONY XPERIA U ST25i,mwenye kufahamu duka linalo uza hizi spares naomba anielekeze.
Nimehangaika sana kutafuta bila mafanikio
Mkuu ingia eBay.com uagize nje tu

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom