Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Nipo musoma ntaipataje na vpi khsu pungufu. Cammon Cx
Ukihitaji utachagua njia ya kuipokea sababu nmezoea kuwapelekea watu wa dar ambao wanaipata ndo wanalipa sasa upo musoma kama ungekua na MTU unaemwamin hapa dar ingekua rahis ningempa yy nae ananipa hela yangu fresh kiroho saf
 
IMG_20170916_104111.jpg
Habari mkuu kwa yeyote mwenye duka,fundi simu nahitaji hiyo housing check tufanye biashara. HOUSING YA NOKIA N97
 
Nahitaji tecno j8 au w5. Budget 150k.
Contact 0762937396
Location mlimani city
 
Jamani tuwe makini na simu za kununua mikononi mwa watu.
Kuna mchezo unaendelea ambao kiukweli sio mzuri.

Mtu anakuuzia simu leo. Unakaa nayo hata miezi minne. Baadae unafuatwa na polisi kuwa simu ni ya wizi.

Tuwe makini. Mimi yamenitokea. Nilinunua samsung s6 edge yenye crack kwa sh 370000. Baada ya kukaa miezi 4, nikafuatwa na polisi
 
Jamani tuwe makini na simu za kununua mikononi mwa watu.
Kuna mchezo unaendelea ambao kiukweli sio mzuri.

Mtu anakuuzia simu leo. Unakaa nayo hata miezi minne. Baadae unafuatwa na polisi kuwa simu ni ya wizi.

Tuwe makini. Mimi yamenitokea. Nilinunua samsung s6 edge yenye crack kwa sh 370000. Baada ya kukaa miezi 4, nikafuatwa na polisi
Ulinunua humu humu jf
 
Back
Top Bottom