dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Nikupe duos samsung bei cheenatafta simu Niko tanga 140000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe duos samsung bei cheenatafta simu Niko tanga 140000
tuone pichaNikupe duos samsung bei chee
Ukihitaji utachagua njia ya kuipokea sababu nmezoea kuwapelekea watu wa dar ambao wanaipata ndo wanalipa sasa upo musoma kama ungekua na MTU unaemwamin hapa dar ingekua rahis ningempa yy nae ananipa hela yangu fresh kiroho safNipo musoma ntaipataje na vpi khsu pungufu. Cammon Cx
Ya mwaka ganOffer offer offer
Samsung Galaxy J7 prime
Used
300k
Clean condition.
0623992405
Sent using Jamii Forums mobile app
Check kupatana j8 utapata fasta ila w5 labda lite boss wangu kila la kheriNahitaji tecno j8 au w5. Budget 150k.
Contact 0762937396
Location mlimani city
Iyo prime ni genuine o ndo clone/usedIyo ni mpya mzee full box ni samsung galaxy s7 edge kama una 360k njoo nikupe Samsung Galaxy j7 duos au j7 prime utachagua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulinunua humu humu jfJamani tuwe makini na simu za kununua mikononi mwa watu.
Kuna mchezo unaendelea ambao kiukweli sio mzuri.
Mtu anakuuzia simu leo. Unakaa nayo hata miezi minne. Baadae unafuatwa na polisi kuwa simu ni ya wizi.
Tuwe makini. Mimi yamenitokea. Nilinunua samsung s6 edge yenye crack kwa sh 370000. Baada ya kukaa miezi 4, nikafuatwa na polisi
Ongezea upate c9 kwa 200kNahitaji tecno j8 au w5. Budget 150k.
Contact 0762937396
Location mlimani city