Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Samsung galaxy note edge full boxed for sale.
Colour : Homozygous black (kama Baraka [emoji23])
Memory: 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16 mp
Size (screen) 5.6 inches
Battery 3000mAh
Price 420k (Kujitetea kiduchu imooo)
Contacts 0739332255 or 0652332255

We bring the product to your door step.
0acb6ecff587ee2c727a37e7c248348f.jpg

3abcd047ca0105c174226df03d6a01a3.jpg
 
af50faa3af706998ee51c6bfcc3e767d.jpg
fe6c0b8215f733f23d2c3624decc6a61.jpg
aba695b4104f25e59e537b891b2d6ae6.jpg


Tekno spark k7. Na chaji yake, ina protector mpya kabisa, cover, earphones.
180, 000
 
Kwa mtazamo wa watu wanaopenda smartphone nzuri kama hutoweza kununua flagship yoyote ya samsung sio simu nzuri na hata kwenye kununua simu yoyote ya samsung kwa jinsi wanvyoidevide market kwenye vipande vipande ukichemka unakula samsung low quality Kuna samsung zenye model yenye herufi tambulishi tofauti tofauti
F- Global version ukiwa na hii ndiyo global standard
T- Kwa watumiaji/wateja wa USA
M-
H-
D-
Hizi nyingine ndiyo watanzania wapo nazo
Kama unawez kununua highend samsung smartphone ni vizuri ukanunua iPhone simu inatumika New York City ndiyo hiyo utakayoikuta Nanjilinji
mkuu mimi samsung yangu s4 ina namba SHV-E330L hii ina maana gani??
 
Nahitaji Samsung J1 Ace km uko serious tufanye biashara iwe katika hali nzuri.
 
Samsung galaxy note edge full boxed for sale.
Colour : Homozygous black (kama Baraka [emoji23])
Memory: 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16 mp
Size (screen) 5.6 inches
Battery 3000mAh
Price 420k (Kujitetea kiduchu imooo)
Contacts 0739332255 or 0652332255

We bring the product to your door step.
0acb6ecff587ee2c727a37e7c248348f.jpg

3abcd047ca0105c174226df03d6a01a3.jpg
Ujazo wa betri ni kiduchu sana
 
Offer Offer Offer
Samsung Galaxy s6 all colors available for sale
Full boxed.
Memory (Rom) 32 gb
Ram 3 gb
Size (screen) 5.1 inches
Camera 16 mp
Network LTE 4G
Battery 2550mAh
Price 400k
Contacts 0739332255 or 0652332255.
Tupo Ilala pia Aggrey st k/koo.
Say bye bye to Tec....No werevaaa

40de67e48a14060915197a39816b7b3e.jpg

bcce8dd75a0e11ef16411c4b9622058f.jpg

b5450ad956d06a1e5149e7eeaea1e3eb.jpg
Simu nzurina bei pia ila kweye betri Samsung wanazingua
2500 na 3000 mAh kwa smartphone bado ni matatizo tu ya kushinda na cha
 
IMG-20171225-WA0004.jpg


IMG-20171225-WA0005.jpg


IMG-20171225-WA0007.jpg



Samsung sm G531h Inauzwa.

Inajulikana pia kama Samsung Grand Prime.

Screen Display = 5 Inches

Network = 2G, 3G & 4G

Camera ina resolution ya 1080p
Ya Nyuma = 8MP
Ya Mbele = 5MP

Android Version = 4.4.4 (Kitkat) unaweza kuiupgrade 5.0.2 (Lollipop)

Ram = 1GB

Internal Memory = 8GB

Battery = 2600mAh

Bei = 170,000/=

Simu ipo Dar

Nicheki inbox au Niquote
 
habari wakuu nna shida na simu isizid 200,000 npo dar, mwisho kesho jioni, nimeingia kupatana.com naona sipaelewi
 
simu ya aina gani, tsh ngap? pctr zake pia, then ndo nikutafute
Kuna a friend of mine anauza Samsung galaxy mega 4 ni ya kwake wenyewe.
Memory 8gb.
Anataka 200k
Size (screen) 5.9 inches
Mimi simu zilizopo za bei ya chini kabisa ni Samsung S5 300k full box.
Ngoja nimuombe picha
 
habari wakuu nna shida na simu isizid 200,000 npo dar, mwisho kesho jioni, nimeingia kupatana.com naona sipaelewi
Tecno c8
Internal storage 16gb
Camera mega pixel 13
All accessories available
Ina miezi 9 tu
Price 180k
Location: dar
 
mkuu mimi samsung yangu s4 ina namba SHV-E330L hii ina maana gani??
Ilitengenezwa mahsusi kwa ajili ya kutumiwa korea kusini tu
Simu kama hiyo inaweza ikawa ya wizi, au iliharibika ikarepewa then ikauzwa huku au una ndugu korea. Ni risk sana ila sema watanzania hatuna sensisitive information kwenye simu zetu
Shukrani
 
nahitaj samsung apha leo leo used offer yangu 250k
iwe kwenye hali nzuri
nipo dsm tabata
no 0752657649
 
Back
Top Bottom