Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exchange vipi? Na Huawei p9 lite? Nipigie 0718953088Nauza tecno spark plus
Storage 16 gb
Camera 13mp real 8 mp front
Colour gold
Iko inang'aa
Bei 200000 tu
Npo Dar
0693010101
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Safi sana mkuu tia grisiSelling an apple iPhone 6 plus
128GB
Space gray
Ram 2Gb
New condition
Finger print [emoji736] [emoji736]
Price; 950,000/=
Check me pm
![]()
Vyuma vimekaza mkuu naona bora niuze tu,nitatumia alhaji teknoSafi sana mkuu tia grisi
barabara kabisa mkuuVyuma vimekaza mkuu naona bora niuze tu,nitatumia alhaji tekno
Bado weka pic hapaMkuu vip ushapata kuna s6 edge jiwe saafi kabisa
Bc leta 500k au unazan kila anae uza simu umu ni maskini kama weweNa Mimi nasubiri jibu,hata A3 yenyewe hupti kwa bei hiyo
Mwenye duka anakuangalia tu akijua ni og halafu unakuta feki unamuharibia biasharaKatka pita pita zangu mitaa ya internet nimekumbana na jambo ikiwa una samsung yako na unajisemea kuwa ni original au unatakakununua musipate tabu yoyote ile fanya hivi.
Ingia PLAY STORE search kwa kuandika PHONE INFO SAMSUNG, application ya mwanzo itayojitokeza ipakuwe kwa kuinstall halaf iopen ukishaifungua moja kwa moja itakueleza nchi iliyotengenezwa hapa ikiwa jina lilipokwenye kibandiko cha nje au chini ya betri mfano kwenye kibandiko imeandikwa MADE IN VIETNAM basi kwenye hii app itakuambia sahihi ilipotoka simu yako, tarehe iliyotengenezwa na mambo mengine mengi utayaona. Press kushoto utaona maneno kama GENERAL! SCS CODE,FIRMWARE....... haya utajua wewe huko.
Ukishakumbana na hayo halafu click upande wa juu wa kushoto kuna vistar vitatu bonyeza hivo utaona mfuatano wa maneno kama vile INFORMATION bonyeza neno REFURBISHMENT CHECK iache I loading kwa second chache hapo itakwambia ikiwa ni original utapongezwa kwakuambiwa CONGRATULATIONS YOUR phone IS ORIGINAL ikiwa sio utambiwa sio. Mumenipata nahisi.
Sasa we Tajiri unauza simu za wizi kwaniniBc leta 500k au unazan kila anae uza simu umu ni maskini kama wewe
Asante sana mkuu kwa kushare nasi...Katka pita pita zangu mitaa ya internet nimekumbana na jambo ikiwa una samsung yako na unajisemea kuwa ni original au unatakakununua musipate tabu yoyote ile fanya hivi.
Ingia PLAY STORE search kwa kuandika PHONE INFO SAMSUNG, application ya mwanzo itayojitokeza ipakuwe kwa kuinstall halaf iopen ukishaifungua moja kwa moja itakueleza nchi iliyotengenezwa hapa ikiwa jina lilipokwenye kibandiko cha nje au chini ya betri mfano kwenye kibandiko imeandikwa MADE IN VIETNAM basi kwenye hii app itakuambia sahihi ilipotoka simu yako, tarehe iliyotengenezwa na mambo mengine mengi utayaona. Press kushoto utaona maneno kama GENERAL! SCS CODE,FIRMWARE....... haya utajua wewe huko.
Ukishakumbana na hayo halafu click upande wa juu wa kushoto kuna vistar vitatu bonyeza hivo utaona mfuatano wa maneno kama vile INFORMATION bonyeza neno REFURBISHMENT CHECK iache I loading kwa second chache hapo itakwambia ikiwa ni original utapongezwa kwakuambiwa CONGRATULATIONS YOUR phone IS ORIGINAL ikiwa sio utambiwa sio. Mumenipata nahisi.
Yaaap ipo vizr sana.Asante sana mkuu kwa kushare nasi...
Hii app inaonesha ni mara ngapi charger imekuwa connected kwenye simu
Ni mara ngapi earphone zimekuwa connected
Hivyo inakusaidia kujua kama simu ni mpya au kuna mtu alitumia akaisafisha tu
Mkuu bado ipo hiiWhatsApp 0715490503