Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

images(5).jpeg
mwenye hii blackberry classic aje tuvunje kwa NOKIA BANANA 8110 4G DUAL SIM FULL BOXED MPK RESET UKITAKA, ndio nimeandikia na ku upload hizi pics
images(2).jpeg
images(3).jpeg
Siuzi maana nikitaja bei yake kuna watu watasema 'bora nikanunue tecno spark au camon'
 
Nauza Inifinix smart 2,
Imetumika mwezi mmoja,
Shilingi 170,000/-
Nipo njombe kipengere,
Camera 13 mpya kwa 8 mpya
Ram 1gb
Android version 8.1
Internal storage 16gb
Updates system x5xx555
0762348353

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🆕🆕🆕🆕🆕🆕🆕🆕🆕
Pata Flash disk bora yenye uwezo wa kusoma kwenye Laptop, TV, Radio etc na kutunza mafile ya aina zote(video, audio, documents, softwares, games) kwa bei nafuu. Pia ni waterproof,mini and portable, ina key ring design

Brand Name: DM
Product Name: PD086

Bei: 32GB - 20,000

Call/Text/WhatsApp 0742968517

Location : Near Mkuki House, Gerezani - Kariakoo
https://wa.me/+255742968517
Follow us on Instagramn and Facebook : DM LIFE STORE


PD086-32G (5).jpg
 
Olympus PEN E-P3

Kinachoonekana hapo ni,
1-Camera yenyewe
2-Charger ya battery
3-Data cable na
4-Kifuniko cha lens.

Bei ni 450k

NB: Najua huu ni uzi wa smartphones. I hope
you won't mind.
20190228_141153.jpeg
20190228_141135.jpeg
20190228_141114.jpeg
20190228_141055.jpeg
20190228_141030.jpeg
20190228_141013.jpeg
20190228_140945.jpeg
20190228_140920.jpeg
20190228_140834.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom