Joasi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 766
- 674
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei?Bado aliye serious na s6 edge anakaribishwa.View attachment 1034262View attachment 1034263View attachment 1034265View attachment 1034266View attachment 1034267View attachment 1034268View attachment 1034269
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ina accessories zake original (charger, earphones etc), basi kuna 270K hapa! By the way, condition yake ipo katika hali gani?! Halafu RAM ngapi?!
Hakuna mwenye simu hiyo kwa sasa
RAM ni tatu, na condition yake ni clean kabisa, haina dosari yoyote, iwe ya kimuonekano ama performance.Kama ina accessories zake original (charger, earphones etc), basi kuna 270K hapa! By the way, condition yake ipo katika hali gani?! Halafu RAM ngapi?!
Kiwango chako cha mwisho kabisa bei gani?! Halafu Mkuu nimekuuliza kuhusu charger na earphone! Halafu wewe unaonekana mtunzaji mzuri kama mimi! Mimi nina simu ya tangu 2015 lakini ukiona leo utadhani mpya, sema ni majuzi tu ndipo imenitoa nishai baada ya kudondoka na ku-crak!RAM ni tatu, na condition yake ni clean kabisa, haina dosari yoyote, iwe ya kimuonekano ama performance.
By the way, thanks for ur offer bt I can't take it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado aliye serious na s6 edge anakaribishwa.View attachment 1034262View attachment 1034263View attachment 1034265View attachment 1034266View attachment 1034267View attachment 1034268View attachment 1034269
Kula 300 kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula 300kRAM ni tatu, na condition yake ni clean kabisa, haina dosari yoyote, iwe ya kimuonekano ama performance.
By the way, thanks for ur offer bt I can't take it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anyway, naona my maximum offer ambayo nilitarajia kuweka (300K) imeshawekwa na mwingine, ingawaje ningeweza kuongezea 10K endapo uta-remove samsung account unless if not registered!RAM ni tatu, na condition yake ni clean kabisa, haina dosari yoyote, iwe ya kimuonekano ama performance.
By the way, thanks for ur offer bt I can't take it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu charger + earphone vyote vipo.Kiwango chako cha mwisho kabisa bei gani?! Halafu Mkuu nimekuuliza kuhusu charger na earphone! Halafu wewe unaonekana mtunzaji mzuri kama mimi! Mimi nina simu ya tangu 2015 lakini ukiona leo utadhani mpya, sema ni majuzi tu ndipo imenitoa nishai baada ya kudondoka na ku-crak!
Huwa zinanishangaza sana simu zingine ambazo unakuta ni 7s lakini imechakaa kishenzi!!
Hapo kwenye account hakuna tatzo. Tatzo lipo kwenye ofa.Anyway, naona my maximum offer ambayo nilitarajia kuweka (300K) imeshawekwa na mwingine, ingawaje ningeweza kuongezea 10K endapo uta-remove samsung account unless if not registered!
Ina maana Chifu hujasikia tangazo la Magu kupitia TRA na Jeshi la Polisi kwamba, kutokana na vyuma kukaba basi msiwauzie Watanzania bidhaa used kwa Sh. 250K, au?! Kama upo serious na biz, tugawane hiyo 50K! Halafu stori zote hizi wala hujasema upo wapi!Mkuu charger + earphone vyote vipo.
Hiyo cm nimenunua October last year.
Ofa yangu yamwisho 350k top.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaana mkuu me leo nikitaka kuuza home theater ya watts 1200 just because it's not brand new ntatakiwa kuuza chini ya 250k..!! Ama fridge ya boss milango miwili kwa 250k..!! Come on man..Ina maana Chifu hujasikia tangazo la Magu kupitia TRA na Jeshi la Polisi kwamba, kutokana na vyuma kukaba basi msiwauzie Watanzania bidhaa used kwa Sh. 250K, au?! Kama upo serious na biz, tugawane hiyo 50K! Halafu stori zote hizi wala hujasema upo wapi!
Achana na hizo chit-chat bhana; kama nisingekuwa serious ningeandika ma-post yote haya?! Nimekuomba tugawane hiyo 50K halafu nikakuuliza maeneo; which means, kama tunafikia maelewano, tunakutana vp!Inamaana mkuu me leo nikitaka kuuza home theater ya watts 1200 just because it's not brand new ntatakiwa kuuza chini ya 250k..!! Ama fridge ya boss milango miwili kwa 250k..!! Come on man..
Kama uko serious na hii cm hiyo ni bei yakawaida kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu location me niko Moro. Ila kama upo mikoa jirani (dodoma, pwani, dar, tanga) nakuletea mimi mwenyewe (nnasafiri kwenye hiyo mikoa mara kwa mara), tofauti na hapo, nitaisafirisha kwenye gari atapokea mtu, atakuletea, utampa cash. Deal Done.Achana na hizo chit-chat bhana; kama nisingekuwa serious ningeandika ma-post yote haya?! Nimekuomba tugawane hiyo 50K halafu nikakuuliza maeneo; which means, kama tunafikia maelewano, tunakutana vp!
Dah, ungekuwa Dar ningehakikisha leo leo tunamalizana!!! Sasa ndo hivyo tena, nipo Dar! Naweza kuipata kwa haraka kiasi gani?Kuhusu location me niko Moro. Ila kama upo mikoa jirani (dodoma, pwani, dar, tanga) nakuletea mimi mwenyewe (nnasafiri kwenye hiyo mikoa mara kwa mara), tofauti na hapo, nitaisafirisha kwenye gari atapokea mtu, atakuletea, utampa cash. Deal Done.
Sent using Jamii Forums mobile app