reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
TUNAKUMBUSHANA TU:
Ukiona mtu anauza simu anayodai anaitumia halaf amepga picha ukiangalia kwenye screen inaonesha no sim card, offline, emergence call, au mnakutana kufanya biashara unaona simu anayokuuzia sio anayotumia kuwasiliana na wewe au mazingra yoyote kama hayo yanayoonesha muuzaji haitumii,
Anza kutumia akili yako vzr
Ukiona mtu anauza simu hasa high end brands, halaf anakuambia exchange allowed bila conditions zozote, punguza njaa
anza kuchunguza .
Ni ushaur tuu, za kuambiwa ongeza na zako.
Ukiona mtu anauza simu anayodai anaitumia halaf amepga picha ukiangalia kwenye screen inaonesha no sim card, offline, emergence call, au mnakutana kufanya biashara unaona simu anayokuuzia sio anayotumia kuwasiliana na wewe au mazingra yoyote kama hayo yanayoonesha muuzaji haitumii,
Anza kutumia akili yako vzr
Ukiona mtu anauza simu hasa high end brands, halaf anakuambia exchange allowed bila conditions zozote, punguza njaa
anza kuchunguza .
Ni ushaur tuu, za kuambiwa ongeza na zako.