Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,011
Unaweza nisaidia namba ya jamaa ako nimchek maana na mimi niliibiwa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshkaji wangu aliuziwa simu ya wizi..Mwenye simu akatumia Imei number kutoka kwenye boks/reset akazipeleka police wakamtrack wakamdaka
Sent using Jamii Forums mobile app