srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,195
- 4,013
Nicheki kaka unahitaji hizo speakers. Ninazo dukaniWakuu, wapi naweza pata hii kituView attachment 2431417
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nicheki kaka unahitaji hizo speakers. Ninazo dukaniWakuu, wapi naweza pata hii kituView attachment 2431417
Mkuu msaada naipataje smart kitochi ambayo cyo ya kampuni voda/tigo maana kuna mshkaji wangu kaenda pale kaambiwa ni 75000Haha nimecheka kiboya[emoji28][emoji28]
Mwambie aje nimsaidie kurudisha iyo simu wampe nyingine kama bado anakumbuka alipoichukua au kama namba zao za simu anazo.
Kariakoo watu wapo kimkakati zaidi ukizingatia wabongo tunapenda vitu cheap so ni fursa kwa wengine.
Ikifika 600k nitakutafuta
Nikupe s10+ na pesa kidogo..Nina Galaxy S20 single sim
Nahitaji exchange na A53,
Nataka simu ya laini 2Nikupe s10+ na pesa kidogo..
Kwanini unabadili?
Mkuu unamfanyia kama Mh.samia alivomfanyia diwani athumani....yaani akamshusha + kambakizia kamshahara,unamshusha + nyongeza ya pesa kiduchu.Nikupe s10+ na pesa kidogo..
Kwanini unabadili?
Miezi minne kaka,Nataka simu ya laini 2
S10+ yako umetumia kwa muda gani
Shida ndiyo hiyoMiezi minne kaka,
Iko poa haina mchubuko hata 1,
Kitu kibaya ni lain moja [emoji38]
OFA & OFA, OFA [emoji91][emoji91][emoji91]
BEI ZIMEKUFA
IPHONE 7+ 32GB 370,000/=
IPHONE X 64GB 550,000/=
X no FACE ID 64GB 490,000/=
IPHONE XR 64GB 590,000/=
IPHONE 11 64GB 800,000/=
11 no FACE ID 64GB 720,000/=
0621060115/0754034232
MIKOANI TUNATUMA [emoji403]
Dubai ya Manzese au Uarabuni?
Uarabuni bossDubai ya Manzese au Uarabuni?