Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Google Pixel 6Pro (Dubai version)
RAM: 12gb , ROM: 128gb
Camera resolution: 4K
Warranty: 6 months

💰💰 Tsh.930,000

📞: +255 687 600 847
Exchange: ✔️

IMG-20230614-WA0004.jpg

IMG-20230614-WA0005.jpg
 
Kwa hivyo unawatukana wateja wako sio?
Boss wangu; kwanza kabisa binafsi sijaona Kama nimewatukana wateja wangu labda unifafanulie zaidi...

Na yote kwa yote ni kwamba nimeongea kitu ambacho nina uzoefu nacho
Mfano 1;
Kuna huyo mteja 👇 Twitter aliuliza Kama tunafanya top up na ilihali kwenye post husika imeoneshwa kwamba exchange(neno ambalo tunalitumia interchangeably na top up) inawezeakana na kwenye pinned Tweet kuna jibu la swali lake pia

Screenshot_20230622-135822.png


Screenshot_20230622-140813.png

Screenshot_20230622-140210.png


Mfano 2;
Kuna huyo mteja 👇mwingine huko huko Twitter aliuza bei na ilhali Kuna bei kwenye post husika
Screenshot_20230622-140104.png



Na hata wafanyabiashara wengine wamekuwa wakidai kuulizwa bei na ilhali bei imewekwa kwenye post(chapisho ) ya bidhaa husika

......

🙏 🙏 Naomba niwie sana radhi Kama nitakuwa nimejibu kwa lugha ya ukali boss wangu
 
Back
Top Bottom