Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

XIAOMI POCO C65,DUAL SIM,8GB RAM,256GB STORAGE,5000MAH BATTERY,50MP A1 TRIPPLE CAMERA,ANDROID 13,6.7 INCH SCREEN.
BRAND NEW.
PRICE 400,000TSH
 

Attachments

  • IMG-20250306-WA0011.jpg
    IMG-20250306-WA0011.jpg
    47.6 KB · Views: 1
OTEETO TABLET 11 PRO,8GB RAM,512GB STORAGE,DUAL SIM,ANDROID 13,10.1 INCH SCREEN,8.0MP FRONT+13MP REAR CAMERA,6000MAH BATTERY,ANDROID 13,5G,TEMPERED GLASS TOUCH PANEL,BRAND NEW.
PRICE 289,000TSH
 

Attachments

  • IMG_20250307_130829_432.jpg
    IMG_20250307_130829_432.jpg
    110.3 KB · Views: 2
Badala ya kuweka picha ya simu unaweka picha ya box
Iko sealed siwezi kuifungua kabla haijanunuliwa,ukihitaji kujifunza zaidi unaweza kunicheki nikuelekeze ilivyo au unaweza ukagoogle image yake utaiona
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Wanangu jana si nimeuziwa simu ya mkopo sumsung A15 lakini imefyatuliwa inavyoonekana maana imepigwa fila MDM fix tool. Hizi simu za kwenye magroup ya facebook na other platform sio poa, kibaya nilimuagiza jamaa yangu akaichukue maana mimi sikuwepo eneo husika.
 
Wanangu jana si nimeuziwa simu ya mkopo sumsung A15 lakini imefyatuliwa inavyoonekana maana imepigwa fila MDM fix tool. Hizi simu za kwenye magroup ya facebook na other platform sio poa, kibaya nilimuagiza jamaa yangu akaichukue maana mimi sikuwepo eneo husika.

Pole sana ndugu.
 
Back
Top Bottom