Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Siamini kabisa kuwa Udart wanaweza kuendesha biashara kwa kukosa chenji ya kurudisha kwa abiria wao.
Mara nyingi sana utakutana na kero la kukosekana chenji kwenye vile vibanda vya wauza tiketi vilivyoko kando ya barabara ya Morogoro hasa kwa maeneo ya Kimara Temboni, Mbezi kwa msuguri, Kibamba, Kiluvya nk.
Wakatisha tiketi wana sura ngumu, majibu ya nyodo, kebehi, dharau, huwa wanajibu kwa sauti kubwa HAKUNA CHENJI kisha wanatazama pembeni.
Hivi ni kweli wakatisha ticket Udart wanakosaga chenji? Kwa nini wakose chenji?
Mara nyingi sana utakutana na kero la kukosekana chenji kwenye vile vibanda vya wauza tiketi vilivyoko kando ya barabara ya Morogoro hasa kwa maeneo ya Kimara Temboni, Mbezi kwa msuguri, Kibamba, Kiluvya nk.
Wakatisha tiketi wana sura ngumu, majibu ya nyodo, kebehi, dharau, huwa wanajibu kwa sauti kubwa HAKUNA CHENJI kisha wanatazama pembeni.
Hivi ni kweli wakatisha ticket Udart wanakosaga chenji? Kwa nini wakose chenji?