DOKEZO Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani

DOKEZO Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Jamani kuna tatizo kwenye mabucha ya nyama hasa mitaa ya Mbezi Beach, wanajifanya wanauza nyama bei rahisi kumbe kwa kila kilo wanapunguza gram 200.

Wanaohusika tunaomba mtuokoe, sina details nyingi lakini hilo nina uhakika nao linafanyika.

Mamlaka zinazohusika zinatakiwa kufuatilia hii changamoto, ipo na wenyewe wakisoma hapa wanajua kinachoendele.

Pia soma:
~
Waziri Jafo: Wauza nyama Buchani kuna ujanjaujanja wanaufanya kuibia Wateja kwenye mizani

~ Wafanyabiashara wa bucha sio waaminifu kabisa hasa wa Mbezi kwa Msuguli, wanaibia wateja
 
Jamani kuna tatizo kwenye mabucha ya nyama hasa mitaa ya Mbezi Beach, wanajifanya wanauza nyama bei rahisi kumbe kwa kila kilo wanapunguza gram 200.

Wanaohusika tunaomba mtuokoe, sina details nyingi lakini hilo nina uhakika nao linafanyika.

Mamlaka zinazohusika zinatakiwa kufuatilia hii changamoto, ipo na wenyewe wakisoma hapa wanajua kinachoendele.
WMA wapo tu kwenye viyoyozi
 
Jamani kuna tatizo kwenye mabucha ya nyama hasa mitaa ya Mbezi Beach, wanajifanya wanauza nyama bei rahisi kumbe kwa kila kilo wanapunguza gram 200.

Wanaohusika tunaomba mtuokoe, sina details nyingi lakini hilo nina uhakika nao linafanyika.

Mamlaka zinazohusika zinatakiwa kufuatilia hii changamoto, ipo na wenyewe wakisoma hapa wanajua kinachoendele.
Tueleze wanapunguzaje na wewe umejuaje wanapunguza, ongea kisayansi sio unaongea kama diwani wa CCM wa uchaguzi uliopita. Isije ikawa ulinunua nyama asubuhi na ulipoipeleka nyumbani jioni ikaonekana imepungua kwa gramu 200
 
Wezi namba moja wa nyama ni Rudy's Farm Bahari Beach. Usiagize take away bila kwenda na mizani. na kufungua foil uhakikishe umewekewa nyama gani. Ni wezi waliokubuhu hawa jamaa. Kama hawakupunji kwenye uzito, watakuwekea mifupa na nyama iliyooza.
 
Wezi namba moja wa nyama ni Rudy's Farm Bahari Beach. Usiagize take away bila kwenda na mizani. na kufungua foil uhakikishe umewekewa nyama gani. Ni wezi waliokubuhu hawa jamaa. Kama hawakupunji kwenye uzito, watakuwekea mifupa na nyama iliyooza.
Nyama iliyooza wanaipata wapi ili wauze kwa wateja?

Na kama wanamuuzia kila mteja mifupa, nyama inayobaki bila mifupa wanamuuzia nani?
 
Nyama iliyooza wanaipata wapi ili wauze kwa wateja?

Na kama wanamuuzia kila mteja mifupa, nyama inayobaki bila mifupa wanamuuzia nani?
Kwenye freezer nyama iliyoharibika wanawapa wateja wa take out. Magumashi wanafanya kwa wateja wa take out.

Wanakula wenyewe. USIAGIZE TAKE OUT RUBY"S FARM BILA YA KUHAKIKISHA UBORA NA UZITO WA NYAMA. HAWA NI WEZI KWA WATEJA WA TAKE OUT.
 
Jamani kuna tatizo kwenye mabucha ya nyama hasa mitaa ya Mbezi Beach, wanajifanya wanauza nyama bei rahisi kumbe kwa kila kilo wanapunguza gram 200.

Wanaohusika tunaomba mtuokoe, sina details nyingi lakini hilo nina uhakika nao linafanyika.

Mamlaka zinazohusika zinatakiwa kufuatilia hii changamoto, ipo na wenyewe wakisoma hapa wanajua kinachoendele.
ndugu, tuombe tu Mungu atusaidie tupate pesa. ukiona unapambania gram 200 ya nyama buchani, ni hali ya chini ya maisha, umasikini. tupambane tutafute maisha. kuna mwaka nilikuwa naenda kununua nyama buchani nusu kilo, ila ukifika pale utakuta kuna mtu ananunua kilo 10 za nyama, na kilo kama 2 za maini. hadi mwenye busha anaona kama wewe wa nusu kilo unamsumbua vile. cha kushukuru Mungu, nilipita level hizo, na mimi napita kununua kilo 10. au samaki kilo 10, na nawaona wenzangu wananunua utumbo nusu kilo vilevile.
 
Back
Top Bottom