Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaNunua. Robo 4 , ach uzembe
Kabisa,yani lissu anachangiwa gari wakati chama chake kipoHii nchi kila kitu magumashi tu
nje ya madaKabisa,yani lissu anachangiwa gari wakati chama chake kipo
Muuzaji gani atakubali upime bidhaa kwa mzani wake.Anzeni kubeba mzani wako wa digital
Hii nchi kila mtu ni mwiziKila mtu ni mwizi tu kwenye eneo lake, hata wewe ni jizi tu.
Mkuu tulishaanza kumsahau piskali penina aliyeuawawa kikatili na ngoshaMleta mada hivi ulishawahi kununua nyama maneno ya Goba center pale?
Basi hao wa mbezi beach watakuwa bado wanafunzi kwa huku Goba hakufai
ndugu, tuombe tu Mungu atusaidie tupate pesa. ukiona unapambania gram 200 ya nyama buchani, ni hali ya chini ya maisha, umasikini. tupambane tutafute maisha. kuna mwaka nilikuwa naenda kununua nyama buchani nusu kilo, ila ukifika pale utakuta kuna mtu ananunua kilo 10 za nyama, na kilo kama 2 za maini. hadi mwenye busha anaona kama wewe wa nusu kilo unamsumbua vile. cha kushukuru Mungu, nilipita level hizo, na mimi napita kununua kilo 10. au samaki kilo 10, na nawaona wenzangu wananunua utumbo nusu kilo vilevile.
Hongera sana kwa kutoboa maishani lakini mawazo yako hayafai na hayana uhalisia katika maisha. Hata ufanye nini hakuna siku watu wote watakuwa kama nyinyi wenye uwezo wa kununua kilo 10. Actually hakuna nchi ya hivyo. Hata Marekani na Ulaya. Hii ni kwa sababu mifumo ya uchumi haijasukwa ili kuwawezesha watu wengi kuwa na uwezo wa kununua kilo 10. Kwa hiyo suluhisho lako ni butu maana hata iweje wanunuzi wa nusu kilo watakuwepo tu; na tena ndiyo wengi.ndugu, tuombe tu Mungu atusaidie tupate pesa. ukiona unapambania gram 200 ya nyama buchani, ni hali ya chini ya maisha, umasikini. tupambane tutafute maisha. kuna mwaka nilikuwa naenda kununua nyama buchani nusu kilo, ila ukifika pale utakuta kuna mtu ananunua kilo 10 za nyama, na kilo kama 2 za maini. hadi mwenye busha anaona kama wewe wa nusu kilo unamsumbua vile. cha kushukuru Mungu, nilipita level hizo, na mimi napita kununua kilo 10. au samaki kilo 10, na nawaona wenzangu wananunua utumbo nusu kilo vilevile.
Duuuh....hivi kweli ni lazimq janja janja ndo mtu atoboe???....really???..sio kweliNilishawahi kuzungumza na mmiliki wa bucha akaniambia bila kuchezea mzani au kununua nyama ya dili kwenye hii biashara hutoboi